ZINAZOVUMA:

Habari

Muungano wa OPEC umepanga kupunguza uzalishaji wa mafuta hali itakayotishia bei ya soko la mafuta duniani.
Viongozi nchini Senegal wameshauriana na kuamua kusitisha maandamano yaliyotarajiwa kufanyika hii leo tarehe 3 Machi.
Bi. Kamala Harris na Mwenza wake wakishuka toka katika ndege ya makamu wa Rais wa Marekani
Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris ameondoka nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake ya kiserikali ya siku tatu.
Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris amempongeza Raisi wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuongoza nchi kwa kuzingatia
Mwenza wa Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris, Douglas Emhoff ametembelea kituo cha kukuza vipaji vya michezo.
Waziri wa uwekezaji, viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amekitaka kiwanda cha TBPL kujitangaza nje na ndani ya nchi.
Donald Trump amejisalimisha mahakamani ili kusikiliza mashtaka yanayomkabili huko Manhattan New York.
Wanajeshi wa jeshi la jumuiya ya Afrika mashariki wamefanikiwa kuwaondoa waasi wa M23 katika Mji wa Bunagana uliopo mashariki ya
Mchezaji akosa nafasi ya kucheza sababu ya msimamo wake wa kutekeleza ibada ya funga ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Raisi Samia amefanya mabadiliko ya vituo kwa mabalozi wawili na uteuzi wa Balozi mmoja watakaoiwakilisha Tanzania.
Viongozi nchini Senegal wameshauriana na kuamua kusitisha maandamano yaliyotarajiwa kufanyika hii leo tarehe 3 Machi.
Bi. Kamala Harris na Mwenza wake wakishuka toka katika ndege ya makamu wa Rais wa Marekani
Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris ameondoka nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake ya kiserikali ya siku tatu.

Chaguo la Mhariri

Makala Mpya