Odinga amuonya balozi wa Marekani August 18, 2023 Siasa Raila Odinga amemuambia balozi wa Marekani kuwa Kenya sio koloni la Marekani hivyo asiingilie mambo ya Wakenya la sivyo watamrudisha
Ruto atoa sharti kwa Odinga July 31, 2023 Siasa Raisi wa Kenya William Ruto amesema yupo tayari kukutana na Raila Odinga lakini kabla ya mazungumzo ametoa sharti linalotakiwa kutekelezwa
Kenyatta na Odinga pamoja kwenye maombolezo July 28, 2023 Siasa Raisi mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta amejumuika na kiongozi wa upinzani Raila Odinga katika ibada ya kuwaaga waliofariki wakati wa
Rais Ruto yupo tayari kuzungumza na Odinga July 26, 2023 Siasa Raisi wa Kenya William Ruto amesema yupo tayari wakati wowote kukutana na Raila Odinga na kufanya mazungumzo ya kutafuta amani
Sababu za kutoonekana kwa Raila Odinga kwenye maandamano July 21, 2023 Siasa Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amesema kutoonekana kwake kumeonyesha kuwa ni maandamano ya wakenya na sio viongozi
Serikali ya Kenya yamuondolea ulinzi Raila Odinga July 18, 2023 Siasa Serikali ya Kenya imemuondolea ulinzi kiongozi wa upinzani Raila Odinga baada ya kutangaza maandamano ya kimapinduzi
Odinga atumia ‘Matatu’ kwenda kazini July 10, 2023 Siasa Kiongozi wa Azimio la umoja nchini Kenya Raila Odinga ametumia usafiri wa umma kwenda kazini huku akizungumza na raia wa
Odinga kumshtaki Raisi Ruto May 8, 2023 Siasa Raila Odinga amesema atakwenda mahakamani kumshtaki Raisi William Ruto kwa kosa la kutofuata katiba
Odinga aongoza maandamano ya kumpinga Ruto May 2, 2023 Siasa Raila Odinga amesema maandamano ya kupinga utawala wa Raisi Ruto yataendelea leo Mei 2 licha ya kukataliwa kupewa kibali na polisi
Odinga akubali mazungumzo na Ruto. April 3, 2023 Siasa Raila Odinga amesitisha maandamano na kukubali ombi la Raisi William Ruto la kukaa chini na kuzungumza.
Odinga alaani waliofanya uvamizi kwa Kenyatta. March 28, 2023 Siasa Raila Odinga alaani waliofanya uvamizi kwa Kenyatta asema waliofanya hivyo wametumwa na serikali.
Odinga atokwa machozi. March 27, 2023 Siasa Msafara wa Raila Odinga umeshambuliwa na jeshi la polisi na kutupiwa vitoa machozi ili kusimamisha maandamano yanayoendelea nchini Kenya.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma
Uganda: Afungwa miaka 6 jela kwa kumtukana Rais Afrika, Afrika Mashariki July 11, 2024 Kijana Edward awebwa ahukumiwa miaka 6 jela nchini Uganda, kwa kumtukana rais