Raisi Ramaphosa ahofia vita na Putin Ramaphosa ahofia kumkamata Raisi wa Urusi Vladimir Putin, inaweza tafsiriwa kama tangazo la vita dhidi ya Urusi Siasa July 19, 2023 Soma Zaidi
Wawili wapigwa risasi maandamano Kenya July 19, 2023 Jamii, Siasa Wawili wamepigwa risasi na polisi nchini Kenya wakati wa mapambano kati ya waandamanaji na maaskari wa jeshi hilo.
Vikosi vya wanamgambo vimeichukua Darful July 18, 2023 Maafa, Siasa Mapigano yanayoendelea nchini Sudan mpaka sasa vikosi vya wanamgambo wa RSF vimefanikiwa kuushikilia mji wa Darful
Ruto ataka Afrika iungane July 18, 2023 Siasa Raisi wa Kenya William Ruto amesikitishwa na Afrika ya Miongo 5 kutegemea nje ya hapa, na kuonyesha inawezekana kujitegemea.
Watu nane wafariki baada ya jengo kuporomoka July 18, 2023 Jamii Watu nane wamepoteza maisha na mmoja kujeruhiwa baada ya jengo walilokuwa wakiishi kuporomoka kutokana na mkazi mmoja kubomoa ukuta wa
Ghana yaruhusu kilimo cha bangi July 17, 2023 Afya, Jamii, Kilimo Ghana inaungana na nchini nyingne kumi barani Afrika ambazo zimeruhusu kilimo cha bangi
Bola atangaza hali ya hatari Nigeria July 15, 2023 Jamii, Kilimo, Maafa Raisi wa Nigeria Mheshimiwa Bola Tinubu ametangaza hali ya hatari kuhusu usalama wa chakula nchini humo.
Iran yajenga urafiki na Zimbabwe July 14, 2023 Siasa Iran na Zimbabwe zimeingia makubaliano na kutia saini mikataba 12 yenye lengo la kukuza uhusiano wa kibiashara baina ya mataifa hayo
Nchi Tano kutokomeza ukimwi kufikia 2030 July 14, 2023 Afya Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi 5 ambazo zipo kwenye mpango wa kutokomeza virusi vya ukimwi kufikia 2030
Njia ya Tanzania kufuzu kombe la dunia 2026 July 14, 2023 Michezo Ndroo ya makundi kufuzu kombe la dunia imechezeshwa na Tanzania imepangiwa kundi moja na timu za;
CAF yafanya mabadiliko “Super League” July 14, 2023 Michezo Shirikisho la Mpira Barani Afrika CAF limebadilisha jina la mashindano ya Super League na kuitwa African football League
Apple Kuweka Mabadiliko ya Bei kwenye Programu ya “App Store” kwa Tanzania, Nigeria, Misri, na Uturuki July 13, 2023 Biashara, Habari, Teknolojia Nchi za Tanzania, Misri, Nigeria na Uturuki zimekumbwa na mabadiliko ya bei katika App store kutokana na mabadiliko mbalimbali.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma