Tundu Lissu akutana na wafanyabiashara kariakoo Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu amekutana na wafanyabiashara na kusikiliza kero zao. Biashara, Siasa July 5, 2023 Soma Zaidi
Vicheko kwa watumiaji wa Petrol na dizeli July 5, 2023 Biashara, Uchumi Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji EWURA zimetangaza kushuka bei kwa petrol na dizeli
Waziri Mkuu ataka agizo la JPM litekelezwe July 3, 2023 Biashara, Siasa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aiagiza mikoa ya kaskazini kutekeleza agizo la hayati Raisi Dkt John Pombe Magufuli
M-pesa kununuliwa kwa Dola 1 July 3, 2023 Biashara Kampuni ya M-pesa holding company limited inatarajiwa kununuliwa kwa dola moja ya marekani
Ujerumani yaunga mkono AU kuwa mwanachama G20 June 27, 2023 Biashara, Habari, Jamii, Siasa, Uchumi Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani aunga mkono AU kujiunga na G20, baada ya Modi kupendekeza umoja huo kijunga
Opec+ zakubaliana kupunguza uzalishaji wa mafuta June 6, 2023 Biashara, Uchumi Nchi zinazozalisha mafuta za OPEC+ zimeweka wazi mpango wao wa kupunguza uzalishaji wa mafuta ili bei ipabde
Wafanyabiashara wa mahindi waliokwama Zambia waachiwa June 2, 2023 Biashara Shehena za mahindi zilizokuwa zimekwama mpakani mwa Tanzania na Zambia zimeruhusiwa baada ya mazungumzo ya kidiplomasia
Serikali yakubali sekta binafsi bandarini May 25, 2023 Biashara, Uchumi Serikali nchini kupitia Waziri wake wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa imesema ni lazima kushirikisha sekta binafsi
Wafanyabiashara wa Tanzania wazuiwa Zambia May 24, 2023 Biashara Wafanyabiashara wa Mahindi wa Tanzania wameweka mgomo eneo la mpakani mwa Tanzania na Zambia baada ya kuzuiwa
Bilionea wa Kenya kununua hisa za Forbes May 21, 2023 Biashara Tajiri na bilionea wa Kenya Julius Mwale ametajwa kuwa miongoni mwa watu wanaowania kununua hisa za Forbes
Kituo cha biashara Afrika mashariki chajengwa Ubungo. April 20, 2023 Biashara, Habari Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amehudhuria hafla ya uwekwaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa kituo cha kibiashara cha Afrika
OPEC+ kupunguza uzalishaji mafuta. April 3, 2023 Biashara Muungano wa OPEC umepanga kupunguza uzalishaji wa mafuta hali itakayotishia bei ya soko la mafuta duniani.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma