Niger inatarajiwa kufikia makubaliano na ECOWAS Waziri Mkuu alieteuliwa nchini Niger amesema kuwa mazungumzo baina yao na ECOWAS yanaenda vzuri na muafaka utapatikana Siasa September 5, 2023 Soma Zaidi
Mkutano kujadili mabadiliko ya mifumo ya chakula Afrika September 5, 2023 Kilimo Mkutano Mkuu wa Mifumo ya Chakula barani Afrika umeanza rasmi hii Leo huku Tanzania ikiwa ndio mwenyeji wa mkutano huo
Falme za Kiarabu kuisaidia Afrika mabadiliko tabia ya nchi September 5, 2023 Mazingira Nchi mbalimbali zimetoa ahadi ya kutoa pesa kuisaidia Bara la Afrika kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabia ya nchi
Onana kurejea tena kuitumikia timu yake ya Taifa ya Cameroon September 5, 2023 Michezo Golikipa wa Manchester United Andre Onana amekubali kurejea tena kuichezea timu yake ya Taifa baada ya kutangaza kustaafu mwaka jana
Viongozi wa Afrika kutafuta suluhu mabadiliko tabia ya nchi September 4, 2023 Mazingira Viongozi wa Afrika wamekutana nchini Kenya kujadili na kutafuta suluhu juu ya changamoto za mabadiliko ya tabia ya nchi
Niger waandamana kuyaondoa majeshi ya Ufaransa September 4, 2023 Siasa Wananchi nchini Niger wameandamana kwa siku tatu mfululizo kushinikiza kuondoka kwa wanajeshi wa Ufaransa nchini kwao
Rais wa Cameroon afanya mabadiliko ya jeshi akihofia kupinduliwa September 1, 2023 Siasa Raisi wa Cameroon Paul Biya amefanya mabadiliko katika Wizara ya Ulinzi na kuteua viongozi wapya wa jeshi la nchi hiyo
63 wapoteza maisha kwa moto Johannesburg August 31, 2023 Maafa Zaidi ya watu 63 wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa kufuatia ajali ya Moto iliyotokea jijini Johannesburg
Brice Nguema Raisi wa mpito Gabon August 31, 2023 Siasa Wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini Gabon wamemchagua jenerali Brice Nguema kuwa Raisi wa mpito wa nchi hiyo
Upinzani Zimbabwe wataka uchaguzi urudiwe August 30, 2023 Siasa Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe amesema ili suluhu ipatikane basi ni lazima uchaguzi urudiwe ili haki itendeke
Jeshi latangaza kuiongoza nchi Gabon August 30, 2023 Siasa Mamlaka ya jeshi nchini Gabon imetangaza kumpindua Rais Ali Bongo na kufuta uchaguzi uliomtangaza kama mshindi wa kiti hicho
ECOWAS yasitisha mpango wa kuivamia Niger August 28, 2023 Siasa Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imesitisha mpango wa kuivamia kijeshi Niger na kujikita zaidi katika mazungumzo
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma