Dkt Ndumbaro aikaribisha Al Ahly kufungua ‘Academy’ Tanzania Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Damas Ndumbaro ameikaribisha timu ya Al Ahly kufungua 'Academy' Tanzania Michezo October 2, 2023 Soma Zaidi
Marekani yatishia kusitisha msaada wa kijeshi Misri October 2, 2023 Siasa Misri inashutumiwa na watetezi wa haki za binadamu kuhusika na mateso dhidi ya wapinzani wa kisiasa
500 hawajulikani walipo mpaka leo kisa kimbunga Freddy September 27, 2023 Jamii, Maafa Toka kutokea kwa kimbunga Freddy nchini Malawi hadi hivi sasa zaidi ya watu 500 hawajapatikana
Marekani yatangaza kusitisha msaada Gabon September 27, 2023 Siasa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ametangaza kuwa nchi yake itasitisha misaada uliyokuwa inaitoa kwa nchi ya Gabon
8 wafariki kwa shoti ya umeme baada ya mvua kubwa Afrika Kusini September 27, 2023 Jamii Watu 8 wakiwepo watoto wa nne wamepoteza maisha baada ya kupigwa na shoti ya umeme uliosababishwa na mvua kubwa siku kadhaa
Mali yahairisha uchaguzi kufanya mabadiliko ya katiba September 26, 2023 Siasa Uongozi wa kijeshi nchini Mali umeghairi kufanya uchaguzi wa Urais 2024 mpaka utakapofanya marekebisho ya katiba
Mamia wafariki kwa kipindupindu na homa ya denge Sudan September 26, 2023 Afya Watu wengi wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa kipindupindu na homa ya denge unaosababishwa na ukosefu wa maji
Mjukuu wa Nelson Mandela afariki kwa saratani September 26, 2023 Afya Mjukuu wa Rais wa kwanza wa Afrika Kusini Nelson Mandela amefariki kwa ugonjwa wa saratani akiwa na miaka 43
Burkina Faso imelifungia jarida la Kifaransa la jeune Afrique September 26, 2023 Siasa Uongozi wa kijeshi nchini Burkina Faso umelifungia jarida la Kifaransa la jeune Afrique baada ya kuandika ripoti zinazochochea uvunjifu wa
Ufaransa kuondoa wanajeshi wake Niger September 25, 2023 Siasa Raisi wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema nchi yake itaondoa wanajeshi wake na Balozi wake nchi Niger mwishoni mwa mwaka huu
Tshisekedi aunda njama kumpindua Kagame September 22, 2023 Siasa Jarida la News times la nchini Rwanda linamshutumu Raisi wa Congo Felix Tshisekedi kwa kuunda njama za kumpindua Rais Kagame
Demokrasia ya Magharibi haifanyi kazi Afrika September 22, 2023 Siasa Kiongozi wa kijeshi kutoka Guinea amesema nchi za Magharibi ziache kuingilia demokrasia ya Afrika kwani hazifanani
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma