Wafanyabiashara wa mahindi waliokwama Zambia waachiwa Shehena za mahindi zilizokuwa zimekwama mpakani mwa Tanzania na Zambia zimeruhusiwa baada ya mazungumzo ya kidiplomasia Biashara June 2, 2023 Soma Zaidi
Museven asema sheria haitobadilika June 2, 2023 Jamii Raisi wa Uganda amesema sheria aliyoitia saini imekamilika na hakuna kitakachobadilika
Mwandishi nguli Afrika afariki May 31, 2023 Elimu Mwandishi nguli barani Afrika amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81
Tinubu kuapishwa leo Nigeria May 29, 2023 Siasa Gavana wa zamani wa Lagos Bola Ahmed Tinubu anatarajiwa kuapishwa leo hii huku viongozi mbalimbali wakiwasili kushuhudia
Ramaphosa asisitiza msimamo wake May 27, 2023 Siasa Raisi wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesisitiza kuwa nchi yake haitafungamana na upande wowote katika vita vya Magharibi
Cameroon: Waasi wateka wanawake 30 May 25, 2023 Jamii, Uhalifu Waasi nchini Cameroon wameteka wanawake zaidi ya 30 huku wakiwajeruhi wengine zaidi baada ya kushindwa kuwapa fedha
Maadhimisho ya miaka 60 Umoja wa Afrika May 25, 2023 Siasa Leo Afrika inaadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa kwa umoja wa nchi huru za Afrika
Zimbabwe yashutumiwa kuwaachia ‘wabakaji’ May 25, 2023 Jamii, Uhalifu Wafungwa walioachiwa kwa msamaha wa raisi Zimbabwe wanajumuisha wabakaji wa watoto
Afrika Kusini: Umeme unashusha uchumi May 23, 2023 Uchumi Kukatika kwa umeme mara kwa mara kunasababisha kuzorota kwa hali ya uchumi nchini Afrika Kusini
Bandari ya Dar es salaam yaipiku bandari ya Mombasa May 22, 2023 Uchumi Bandari ya Dar es salaam imefanya vizuri katika orodha ya benki ya dunia na kuonekana kuongeza ufanisi kwa miaka ya
Dangote kuzindua kiwanda cha kusafisha mafuta May 22, 2023 Uchumi Kiwanda cha kusafisha mafuta nchini Nigeria kinazinduliwa leo hii na serikali ya Raisi Muhammadu Buhari
Sudan kusitisha mapigano May 21, 2023 Siasa, Uhalifu Pande mbili zinazopigana nchini Sudan zimekubaliana kusitisha mapigano kwa muda wa siku saba
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma