Jay Jay Okocha apewa uwaziri Nigeria Mchezaji wa zamani wa nchini Nigeria Jay Jay Okocha ameteuliwa kuwa Waziri wa michezo, vijana na Maendeleo Michezo July 12, 2023 Soma Zaidi
Tinubu Mwenyekiti mpya ECOWAS July 11, 2023 Siasa Umoja wa nchi za ukanda wa Afrika Magharibi umemchagua Raisi wa Nigeria Bola Tinubu kuwa Mwenyekiti wa umoja huo.
Sudan yagomea mkutano wa kutafuta amani July 11, 2023 Maafa, Siasa Serikali ya Sudan imegoma kushiriki mkutano wa kikanda wa kutafuta amani huku ikiishutumu Kenya kupendelea.
Ramaphosa awaalika viongozi wa Afrika mkutano wa BRICS July 10, 2023 Siasa, Uchumi Raisi wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amewaalika viongozi wa Afrika katika mkutano wa umoja wa nchi za BRICS mwezi ujao.
Boti yenye zaidi ya wahamiaji 200 yapotea July 10, 2023 Jamii, Maafa Zaidi ya watu 200 waliokuwa kwenye mashua wakitokea nchini Senegali hawaonekani walipo kwa zaidi ya wiki sasa.
Raisi wa Gabon asema atagombea tena July 10, 2023 Siasa Raisi wa Gabon Ali Bongo amesema kuwa ana nia ya kugombea tena katika muhula wa tatu kwenye uchaguzi utakaoganyika mwezi
Sonko kuharibu uchaguzi Senegal July 8, 2023 Siasa Kiongozi wa upinzani nchini Senegal amesema atavuruga uchaguzi wa mwakani ikiwa hatoruhusiwa kugombea
Tanzania na Zambia yakubaliana kuhusu bomba la mafuta July 8, 2023 Biashara Tanzania na Zambia zimekubaliana kuimarisha ulinzi katika eneo ambalo bomba la mafuta linapita katika nchi hizo mbili
Kramo ‘Chuma’ Kipya Msimbazi July 7, 2023 Michezo Klabu ya soka ya Simba imetangaza kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Assec Mimosa, Aubin Kramo kwa mkataba wa miaka
N’golo Kante anunua klabu Ubelgiji July 7, 2023 Michezo N'golo Kante mbali na kuwa machchari uwanjani aamua kunoa watu na kuonyesha umahiri katika kuongoza klabu ya mpira.
Bara jipya kupatikana Afrika July 6, 2023 Mazingira, Teknolojia Shirika la Anga la Marekani NASA limeonyesha katika utafiti wake dalili ya kugawanyika mara mbili kwa Bara la Afrika
WFP yahitaji msaada kukabiliana na njaa Afrika Magharibi July 6, 2023 Jamii Shirika la Mpango wa chakula la umoja wa mataifa limeomba ufadhili ili kuzisaidia nchi za Afrika Magharibi katika miezi ijayo.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma