ZINAZOVUMA:

Afrika

Viongozi wa kijeshi wa Jumuiya ya ECOWAS wanakutana leo nchini Ghana kujadili kuhusu kuivamia Niger ili kurudisha demokrasia
Niger imewarudisha nyumbani mabalozi wake waliokuwa katika nchi za Ivory Coast pamoja na Nigeria
Umoja wa Ulaya umekosoa kinachoendelea Niger na kuamua kuiunga mkono ECOWAS katika juhudi za kurudisha amani nchini humo
Mamlaka nchini Ethiopia imefanya msako katika maeneo yote ya burudani ili kukamata watu wote wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeidhinisha kupeleka kikosi cha jeshi nchini Niger ili kwenda kurudisha amani
Jenerali Abdourahmane Tchiani ametangaza serikali mpya ya mpito licha ya kuwepo msukumo wa kutakiwa kumrudisha Rais Bazoum
Jeshi la Niger limesema Ufaransa ilikiuka zuio la anga lililotolewa na Niger na pia imewaachia magaidi 16 ili waishambulie nchi yao
Raisi wa Burkina Faso Ibrahim Traore amesema kuwa misaada ya Ufaransa haijawahi kuwa na faida yoyote kwa miaka 63

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya