ZINAZOVUMA:

Afrika

Katika kuhakikisha ubora wa bidhaa zinazoingia na zinazotoka nchini Somalia, nchi hiyo imeagiza bidhaa ziwe na vyeti vya ithibati.
Vyama saba vya upinzani Afrika Kusini vimeungana ili kushinda uchaguzi ujao dhidi ya chama tawala cha ANC
Umoja wa Ulaya umekosoa kinachoendelea Niger na kuamua kuiunga mkono ECOWAS katika juhudi za kurudisha amani nchini humo
Mamlaka nchini Ethiopia imefanya msako katika maeneo yote ya burudani ili kukamata watu wote wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeidhinisha kupeleka kikosi cha jeshi nchini Niger ili kwenda kurudisha amani
Jenerali Abdourahmane Tchiani ametangaza serikali mpya ya mpito licha ya kuwepo msukumo wa kutakiwa kumrudisha Rais Bazoum

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya