Uamuzi wa kuivamia Niger kujadiliwa leo Viongozi wa kijeshi wa Jumuiya ya ECOWAS wanakutana leo nchini Ghana kujadili kuhusu kuivamia Niger ili kurudisha demokrasia Siasa August 17, 2023 Soma Zaidi
Uhasama washika kasi nchi za Afrika Magharibi August 15, 2023 Siasa Niger imewarudisha nyumbani mabalozi wake waliokuwa katika nchi za Ivory Coast pamoja na Nigeria
Waandamanaji zaidi ya 70 wapoteza maisha Ethiopia August 14, 2023 Maafa Zaidi ya waandamanaji 70 wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa na jeshi la Ethiopia katika eneo la Amhara
Rais aliyepinduliwa kufunguliwa mashatka Niger August 14, 2023 Siasa Jeshi nchini Niger limetangaza kumfungulia kesi Rais Mohamed Bazoum kumtuhumu kwa makosa ya uhaini alioifanyia nchi hiyo
kituo cha redio chafungiwa Burkina Faso August 11, 2023 Siasa Burkina Faso imefungia moja ya redio nchini humo kwa kufanya kipindi chenye lengo la kukosoa uongozi wa kijeshi nchini Niger
EU yaingilia mzozo Niger August 11, 2023 Siasa Umoja wa Ulaya umekosoa kinachoendelea Niger na kuamua kuiunga mkono ECOWAS katika juhudi za kurudisha amani nchini humo
Ethiopia yafanya msako kupinga ushoga August 11, 2023 Jamii Mamlaka nchini Ethiopia imefanya msako katika maeneo yote ya burudani ili kukamata watu wote wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja
ECOWAS yapeleka kikosi Niger August 11, 2023 Siasa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeidhinisha kupeleka kikosi cha jeshi nchini Niger ili kwenda kurudisha amani
Niger yatangaza serikali ya mpito August 10, 2023 Siasa Jenerali Abdourahmane Tchiani ametangaza serikali mpya ya mpito licha ya kuwepo msukumo wa kutakiwa kumrudisha Rais Bazoum
Niger yaishutumu Ufaransa kuvuruga amani August 10, 2023 Maafa, Siasa Jeshi la Niger limesema Ufaransa ilikiuka zuio la anga lililotolewa na Niger na pia imewaachia magaidi 16 ili waishambulie nchi yao
Rais Traore aijibu Ufaransa August 9, 2023 Siasa Raisi wa Burkina Faso Ibrahim Traore amesema kuwa misaada ya Ufaransa haijawahi kuwa na faida yoyote kwa miaka 63
Hatua dhidi ya Niger ni maamuzi ya ECOWAS August 9, 2023 Siasa Raisi wa Nigeria Bola Tinubu amesema kuingilia kijeshi nchini Niger na vikwazo kwa Niger ni maamuzi ya Jumuiya ya ECOWAS
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma