Mambo bado magumu Sudan. Mazungumzo ya kutuliza ghasia nchini Sudan hayaonekani yakileta ahueni kwani kila pande inaona ina uwezo wa kushinda vita Siasa, Uhalifu May 9, 2023 Soma Zaidi
Auwa nane kwa kufyatua risasi kiholela May 8, 2023 Jamii, Uhalifu Mtu mwenye silaha amewauwa watu saba waliokuwa dukani wakifanya manunuzi na kuwajeruhi baadhi
Gari la Balozi wa Uturuki lashambuliwa Sudan May 8, 2023 Siasa, Uhalifu Gari la Balozi wa Uturuki nchini Sudan limeshambuliwa siku ya jana wakati mapigano yakiendelea katika Mji wa Khartoum
Uganda: Waziri apigwa risasi na mlinzi wake May 2, 2023 Uhalifu Waziri nchini Uganda amepigwa risasi na mlinzi wake kwa madai ya mlinzi huyo kutokulipwa mshahara wake kwa muda mrefu
Tanzania yaitaka Sudan kusitisha mapigano. April 19, 2023 Jamii, Uhalifu Serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeitaka Sudan kusitisha mapigano ili kulinda mustakabali wa ukuuaji wa nchi hiyo.
Hali yazidi kuwa mbaya Sudan, 186 wafariki. April 18, 2023 Uhalifu Zaidi ya watu 186 wamepoteza maisha huku zaidi 1800 wakijeruhiwa kufuatia mapigano yanayoendelea Khartoum Sudan.
AU yaitaka Sudan kusitisha mapigano. April 17, 2023 Jamii, Uhalifu AU yatoa wito kwa Sudan kusitisha mapigano na kutafuta suluhisho la amani kwa haraka na kuheshimu matakwa ya raia.
10 wapoteza maisha wakijaribu kuingia Ulaya. April 13, 2023 Jamii, Uhalifu Watu 10 wamepoteza maisha baada ya boti waliokuwa wakitumia kuingia Ulaya kwa njia za panya kuzama katika bahari ya mediteraniani.
M23 yasalimu amri. April 12, 2023 Uhalifu Waasi wa M23 wasalimu amri katika Jimbo la Nord Kivu mashariki ya nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Imamu achomwa kisu akiswalisha. April 11, 2023 Uhalifu Imamu nchini marekani ameshambuliwa na kuchomwa kisu mgongoni wakati akiswalisha swala ya Al fajri.
Afrika kusini kumfuata mtuhumiwa wao. April 9, 2023 Uhalifu Muhalifu aliyetoroka nchini Afrika kusini amekamatwa Tanzania na anatarajiwa kurudishwa nchini kwake ili kuendelea kutumikia hukumu yake.
Hii ndio sababu Sabaya kuachiwa. April 6, 2023 Siasa, Uhalifu Hii ndio sababu iliyofanya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kuachiwa baada ya kushikiliwa kwa muda mrefu.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma