Erdogan aunga mkono Ukraine kujiunga NATO Raisi wa Uturuki Recep Erdogan ameunga mkono Ukraine kujiunga na umoja wa nchi za Ulaya NATO Siasa July 8, 2023 Soma Zaidi
N’golo Kante anunua klabu Ubelgiji July 7, 2023 Michezo N'golo Kante mbali na kuwa machchari uwanjani aamua kunoa watu na kuonyesha umahiri katika kuongoza klabu ya mpira.
Bangi yawa tishio Uingereza July 6, 2023 Jamii, Maafa, Uhalifu Polisi nchini Uingereza wamekamata mimea ya Bangi na kukamata genge la wahalifu zaidi ya watu 1000 katika msako mkubwa.
UN yaitaka Ufaransa kubadili mfumo wa polisi July 6, 2023 Siasa, Uhalifu Umoja wa mataifa na mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameitaka Ufaransa kufanya mageuzi katika idara yake ya
Mount apewa mikoba ya Ronaldo July 5, 2023 Michezo Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa mchezaji Mason Mount kutokea klabu ya Chelsea mpaka 2028.
Tetesi za usajili Barani Ulaya July 5, 2023 Michezo Tetesi za usajili Barani Ulaya zazidi kushika hatamu nyota mbalimbali wakihusishwa.
Erdogan ashinda, sasa ni mpaka 2028 July 3, 2023 Siasa Matokeo ya uchaguzi nchini Uturuki yameonesha kuwa Raisi Endorgan ataendelea kuhudumu mpaka 2028
Kocha wa Madrid aahidi ushindi dhidi ya City July 3, 2023 Michezo Kocha wa klabu ya Real Madrid ameahidi ushindi dhidi ya klabu ya Manchester City katika ligi ya kombe la mabingwa
Prigozhin amuweka matatani Putin June 27, 2023 Jamii, Siasa, Uhalifu Prigozhin mrusi na swahiba mkubwa wa Putin awa mwiba wenye sumu. Aanzisha uasi kumng'oa Putin Madarakani. akimbilia Belarus baada ya
Ofisi mpya ya HSBC London katikati June 26, 2023 Habari, Uchumi Benki ya HSBC imefanya tathmini ya kuangalia ni mahali gani panapofaa kwa ajili ya makao makuu yao na kufikia maamuzi
EU yaipiga faini META kwa kudukua taarifa binafsi May 24, 2023 Teknolojia Kamisheni ya Umoja wa Ulaya inayosimamia ulinzi wa taarifa binafsi imeipiga faini ya shilingi Trilioni 3 kampuni ya META
Vinicius alalamikia ubaguzi La Liga May 22, 2023 Jamii, Michezo Mchezaji wa Real Madrid Vinicius Junior ameilalamika ligi ya La Liga kwa kuendelea kuifumbia macho ubaguzi unaoendelea
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma