Erdogan aiunga mkono Sweden kujiunga NATO Uturuki imeondoa pingamizi lake dhidi ya Sweden na kuiunga mkono ili kujiunga na umoja wa kijeshi wa nchi za Ulaya NATO . Siasa July 11, 2023 Soma Zaidi
De gea amesema ‘ni muda wa kutafuta changamoto mpya’ July 10, 2023 Michezo Golikipa wa Manchester United David De Gea amemaliza mkataba wake ndani ya klabu hiyo na tayari amewaaga mashabiki.
Erdogan aunga mkono Ukraine kujiunga NATO July 8, 2023 Siasa Raisi wa Uturuki Recep Erdogan ameunga mkono Ukraine kujiunga na umoja wa nchi za Ulaya NATO
N’golo Kante anunua klabu Ubelgiji July 7, 2023 Michezo N'golo Kante mbali na kuwa machchari uwanjani aamua kunoa watu na kuonyesha umahiri katika kuongoza klabu ya mpira.
Bangi yawa tishio Uingereza July 6, 2023 Jamii, Maafa, Uhalifu Polisi nchini Uingereza wamekamata mimea ya Bangi na kukamata genge la wahalifu zaidi ya watu 1000 katika msako mkubwa.
UN yaitaka Ufaransa kubadili mfumo wa polisi July 6, 2023 Siasa, Uhalifu Umoja wa mataifa na mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameitaka Ufaransa kufanya mageuzi katika idara yake ya
Mount apewa mikoba ya Ronaldo July 5, 2023 Michezo Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa mchezaji Mason Mount kutokea klabu ya Chelsea mpaka 2028.
Tetesi za usajili Barani Ulaya July 5, 2023 Michezo Tetesi za usajili Barani Ulaya zazidi kushika hatamu nyota mbalimbali wakihusishwa.
Erdogan ashinda, sasa ni mpaka 2028 July 3, 2023 Siasa Matokeo ya uchaguzi nchini Uturuki yameonesha kuwa Raisi Endorgan ataendelea kuhudumu mpaka 2028
Kocha wa Madrid aahidi ushindi dhidi ya City July 3, 2023 Michezo Kocha wa klabu ya Real Madrid ameahidi ushindi dhidi ya klabu ya Manchester City katika ligi ya kombe la mabingwa
Prigozhin amuweka matatani Putin June 27, 2023 Jamii, Siasa, Uhalifu Prigozhin mrusi na swahiba mkubwa wa Putin awa mwiba wenye sumu. Aanzisha uasi kumng'oa Putin Madarakani. akimbilia Belarus baada ya
Ofisi mpya ya HSBC London katikati June 26, 2023 Habari, Uchumi Benki ya HSBC imefanya tathmini ya kuangalia ni mahali gani panapofaa kwa ajili ya makao makuu yao na kufikia maamuzi