ZINAZOVUMA:

Kitaifa

Wahudumu watatu wa afya kutoka wilaya ya Handeni wasimamishwa kazi kwa kifo cha Mjamzito kilichotokea kituo cha Afya cha Kabuku.
Shekhe Ponda akamatwa na Kikosi cha Kanda Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya maandmano ya amani yaliyopangwa kuanza
Ruvuma Basin image
Tanzania na Msumbiji zaingia makubaliano ya kushirikiana katika kuendeleza vitalu vilivyopo mpakani mwa nchi hizo kwa maslahi ya mataifa hayo
Chuo cha IIT Madras Zanzibar chafungua milango rasmi kwa kudahili wanafunzi 45 kutoka nchi 4 duniani, na wanawake wakichukua 40% ya wanafunzi
Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu akisema jambo Bungeni
Pendekezo la bajeti ya Tanzania yasomwa, ikiwa na ongezeko la Trlllioni 3, Sekta binafsi yapewa kipaumbele katika biashara na uwekezaji
Watanzania wawili waliokuwa wkaitafutwa na ubalozi wa Tanzania nchini Israel, wamethibitika kutekwa na Hamas katika mzozo unaoendelea
Msukuma gozi kutoka klabu ya Yanga, Jonas Gerard Mkude awadai Mohamed Enterprises wamlipe Bilioni 1 kwa kutumia picha zake kwenye matangazo
Kada na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha amefariki Jijini Dar, na anatarajiwa kuzikwa Arusha kulingana na mipango ya Familia
Mama samia arudi kutoka India akiwa na uhakika wa soko la mbaazi, uwekezaji kwenye zao la Korosho pamoja na kiwanda
Balozi Alex Kalua atoa taarifa ya usalama wa watanzania waliopo Israel, na kuongeza kuwa wawili kati ya 350 bado hawajapatikana.

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya