Ukarabati Wa Uwanja Mpya Wa Amaan Complex-Rais DKT.Mwinyi Apewe Maua Yake Kwa mandhari sharifu ya uwanja mpya wa Amaan. Kiwanja cha kisasa, skrini kubwa, vyumba vya kisasa, viti vya kisasa, hakuna wasiwasi wa mvua wala jua aah! Kwa hakika Dkt.Mwinyi apewe Michezo December 29, 2023 Soma Zaidi
EACOP yagawa nyumba kama njugu December 2, 2023 Jamii, Nishati Uongozi wa mradi wa EACOP ukiwakilishwa na Wendy Brown umegawa nyumba kwa wakazi mbalimbali wa mkoa wa Tanga.
Mafuriko Hanang, vifo vyaongezeka December 2, 2023 Maafa Wilayani Hanang, vifo vingi vimetokea kutokana na mafuriko pamoja na tope lilisobabishwa na Mvua ya jumapili. Miili inaendelea kutafutwa
Wahudumu watatu wasimamishwa kifo cha mjamzito November 15, 2023 Afya, Jamii Wahudumu watatu wa afya kutoka wilaya ya Handeni wasimamishwa kazi kwa kifo cha Mjamzito kilichotokea kituo cha Afya cha Kabuku.
Shekhe Ponda na wengine 9 wakamatwa November 11, 2023 ISRAEL - GAZA Shekhe Ponda akamatwa na Kikosi cha Kanda Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya maandmano ya amani yaliyopangwa kuanza
Msumbiji yaingia makubaliano na Tanzania November 8, 2023 Uchumi Tanzania na Msumbiji zaingia makubaliano ya kushirikiana katika kuendeleza vitalu vilivyopo mpakani mwa nchi hizo kwa maslahi ya mataifa hayo
IIT Madras Zanzibar yafungua milango November 7, 2023 Elimu Chuo cha IIT Madras Zanzibar chafungua milango rasmi kwa kudahili wanafunzi 45 kutoka nchi 4 duniani, na wanawake wakichukua 40% ya wanafunzi
Bajeti ya mwaka 2024 yasomwa bungeni November 7, 2023 Siasa, Uchumi Pendekezo la bajeti ya Tanzania yasomwa, ikiwa na ongezeko la Trlllioni 3, Sekta binafsi yapewa kipaumbele katika biashara na uwekezaji
Watanzania watekwa na HAMAS November 2, 2023 ISRAEL - GAZA Watanzania wawili waliokuwa wkaitafutwa na ubalozi wa Tanzania nchini Israel, wamethibitika kutekwa na Hamas katika mzozo unaoendelea
Dkt Ashatu Kijaji: Wafanyabiashara nipigieni simu mkikwama October 31, 2023 Biashara, Uchumi Waziri wa biashara Dokta Ashatu Kijaji awataka wafanyabiashara kumåpigia simu wakisumbuliwa na taasisi yoyote ya serikali iliyo chini yake.
Spika Tulia Ackson aukwaa uraisi wa maspika wa dunia October 27, 2023 Siasa Spika wa Bunge la Tanzania Bi Tulia Ackson awabwaga wenzake watatu na kuibuka mshindi kwenye uchaguzi wa umoja wa mabunge
MKUDE awaburuza kina Mo mahakamani October 27, 2023 Biashara, Michezo Msukuma gozi kutoka klabu ya Yanga, Jonas Gerard Mkude awadai Mohamed Enterprises wamlipe Bilioni 1 kwa kutumia picha zake kwenye matangazo