Wahudumu watatu wasimamishwa kifo cha mjamzito Wahudumu watatu wa afya kutoka wilaya ya Handeni wasimamishwa kazi kwa kifo cha Mjamzito kilichotokea kituo cha Afya cha Kabuku. Afya, Jamii November 15, 2023 Soma Zaidi
Shekhe Ponda na wengine 9 wakamatwa November 11, 2023 ISRAEL - GAZA Shekhe Ponda akamatwa na Kikosi cha Kanda Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya maandmano ya amani yaliyopangwa kuanza
Msumbiji yaingia makubaliano na Tanzania November 8, 2023 Uchumi Tanzania na Msumbiji zaingia makubaliano ya kushirikiana katika kuendeleza vitalu vilivyopo mpakani mwa nchi hizo kwa maslahi ya mataifa hayo
IIT Madras Zanzibar yafungua milango November 7, 2023 Elimu Chuo cha IIT Madras Zanzibar chafungua milango rasmi kwa kudahili wanafunzi 45 kutoka nchi 4 duniani, na wanawake wakichukua 40% ya wanafunzi
Bajeti ya mwaka 2024 yasomwa bungeni November 7, 2023 Siasa, Uchumi Pendekezo la bajeti ya Tanzania yasomwa, ikiwa na ongezeko la Trlllioni 3, Sekta binafsi yapewa kipaumbele katika biashara na uwekezaji
Watanzania watekwa na HAMAS November 2, 2023 ISRAEL - GAZA Watanzania wawili waliokuwa wkaitafutwa na ubalozi wa Tanzania nchini Israel, wamethibitika kutekwa na Hamas katika mzozo unaoendelea
Dkt Ashatu Kijaji: Wafanyabiashara nipigieni simu mkikwama October 31, 2023 Biashara, Uchumi Waziri wa biashara Dokta Ashatu Kijaji awataka wafanyabiashara kumåpigia simu wakisumbuliwa na taasisi yoyote ya serikali iliyo chini yake.
Spika Tulia Ackson aukwaa uraisi wa maspika wa dunia October 27, 2023 Siasa Spika wa Bunge la Tanzania Bi Tulia Ackson awabwaga wenzake watatu na kuibuka mshindi kwenye uchaguzi wa umoja wa mabunge
MKUDE awaburuza kina Mo mahakamani October 27, 2023 Biashara, Michezo Msukuma gozi kutoka klabu ya Yanga, Jonas Gerard Mkude awadai Mohamed Enterprises wamlipe Bilioni 1 kwa kutumia picha zake kwenye matangazo
Kada wa CCM Arusha afariki Dunia October 27, 2023 Jamii, Siasa Kada na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha amefariki Jijini Dar, na anatarajiwa kuzikwa Arusha kulingana na mipango ya Familia
INDIA kununua mbaazi za Tanzania October 14, 2023 Biashara, Uchumi Mama samia arudi kutoka India akiwa na uhakika wa soko la mbaazi, uwekezaji kwenye zao la Korosho pamoja na kiwanda
Hali halisi ya watanzania Israel October 9, 2023 ISRAEL - GAZA, Siasa Balozi Alex Kalua atoa taarifa ya usalama wa watanzania waliopo Israel, na kuongeza kuwa wawili kati ya 350 bado hawajapatikana.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma