Prof Mussa Assad: Hakuna uwajibikaji serikalini. Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali C.A.G asema hakuna uwajibikaji kwa viongozi na kumtaka Raisi Samia achukue hatua. Siasa, Uchumi April 6, 2023 Soma Zaidi
Hakuna wilaya itakayokosa gari la kubebea wagonjwa. April 5, 2023 Afya Serikali kupitia wizara ya Afya nchini imesema imenunua magari 727 ya kubebea wagonjwa ambayo yatasambazwa katika wilaya zote.
Ole Sendeka: “Wakubwa wachukuliwe hatua” April 4, 2023 Siasa Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka ametaka Raisi Samia achukue hatua dhidi ya watu wanaojinufaisha na fedha za
Polepole apelekwa Cuba. April 3, 2023 Siasa Raisi Samia amefanya mabadiliko ya vituo kwa mabalozi wawili na uteuzi wa Balozi mmoja watakaoiwakilisha Tanzania.
Kamala amalizana na Tanzania. March 31, 2023 Siasa Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris ameondoka nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake ya kiserikali ya siku tatu.
TARI yavuka malengo uzalishaji mbegu. March 31, 2023 Kilimo Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania imevuka malengo ya tani 40 ya mbegu za mtama na kukaribia kufikia tani 60.
TARI yavuka malengo uzalishaji mbegu. March 31, 2023 Kilimo Taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania imevuka malengo ya tani 40 ya mbegu za mtama na kukaribia kufikia tani 60.
M.A.T yatoa tamko madaktari 162 waliofutiwa Shahada zao. March 31, 2023 Afya, Elimu Chama cha madaktari Tanzania kimepokea kwa masikitiko taarifa ya wahitimu wa udaktari kufutiwa shahada zao na SAUT.
Kamala ampongeza Raisi Samia. March 30, 2023 Siasa Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris amempongeza Raisi wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuongoza nchi kwa kuzingatia
Mwenza wa kamala atembelea J.K park. March 30, 2023 Michezo, Siasa Mwenza wa Makamu wa Raisi wa marekani Kamala Harris, Douglas Emhoff ametembelea kituo cha kukuza vipaji vya michezo.
Dkt Kijaji aitaka TBPL kujitangaza. March 30, 2023 Afya Waziri wa uwekezaji, viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amekitaka kiwanda cha TBPL kujitangaza nje na ndani ya nchi.
Nape awataka wahariri kutoa elimu matumizi ya mitandao. March 29, 2023 Teknolojia Waziri Nape Nauye amezungumza na wahariri wakati akifungua mkutano wa 12 wa mwaka wa kitaaluma wa wahariri uliofanyika Machi 29 2023.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma