Shule yaungua Bukoba Zimamoto mkoani Kagera wamefanikiwa kuzuia Moto usiteketeze shule ya sekondari Istiqama katika manispaa ya Bukoba. Elimu, Jamii, Maafa July 8, 2023 Soma Zaidi
Uhaba wa wataalamu yawa kilio TCAA July 8, 2023 Elimu Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari amesema tatizo la uhaba wa wataalamu katika sekta ya Anga limekua kilio kikubwa.
Waziri Mkuu amesema Bandari haitauzwa July 8, 2023 Biashara, Siasa, Uchumi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema wananchi wanatakiwa kuwa na imani na serikali yao na kuwa bandari haitauzwa
Simba yamchukua kocha wa Azam July 6, 2023 Michezo Klabu ya Simba imemsajili kocha wa zamani wa makipa wa Azam katika hatua ya kuimarisha benchi lake la ufundi.
Raisi Samia aunda wizara mpya July 6, 2023 Siasa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani amefanya mabadiliko ya miundo ya wizara
Waziri Kairuki akabidhi magari 43 kwa TARURA July 5, 2023 Siasa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Angellah Kairuki amekabidhi magari 43 kwa
Tundu Lissu akutana na wafanyabiashara kariakoo July 5, 2023 Biashara, Siasa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu amekutana na wafanyabiashara na kusikiliza kero zao.
Vicheko kwa watumiaji wa Petrol na dizeli July 5, 2023 Biashara, Uchumi Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji EWURA zimetangaza kushuka bei kwa petrol na dizeli
Waziri Ulega kuanzisha BBT mifugo July 5, 2023 Habari, Kilimo, Uchumi Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Abdallah Ulega amesema wizara yake itaanzisha programu ya BBT mifugo ili kuwawezesha vijana
Latra yazuia mabasi 38 July 3, 2023 Habari LATRA yasitisha ratiba ya mabasi 38 ya kampuni ya 'New force' kama hatua ya kudhibiti ajali kutokana na mwenendo wao.
Yanga yaalikwa Malawi July 3, 2023 Michezo Klabu ya Yanga imepata mualiko kutoka kwa Raisi wa Malawi Lazarus Chakwerwa kwenye sherehe za uhuru wa nchi hiyo
Waziri Mkuu ataka agizo la JPM litekelezwe July 3, 2023 Biashara, Siasa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aiagiza mikoa ya kaskazini kutekeleza agizo la hayati Raisi Dkt John Pombe Magufuli
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma