MNADA wa vitalu vya gesi mwakani Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli nchini Tanznaia upo katika maandalizi ya mnada wa vitalu 26 unaotarajiwa kufanyika mwaka 2024 Biashara, Uchumi September 24, 2023 Soma Zaidi
MAMA ABADALI SURA SANAA NA MICHEZO September 23, 2023 Jamii Mama Samia amteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa na Michezo, na kumteua Ubalozi Said Othman aliyekuwa wizarani
MAHARAGE CHANDE sio wa TANESCO tena September 23, 2023 Habari Rais samia amefanya mabadiliko mbalimbali ya kiungozi, pamoja na kumuhamisha Maharage Chande kutoka TANESCO kwenda TTCL.
Dkt Ndumbaro ajiuzulu nafasi yake Tff September 22, 2023 Michezo Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Damas Ndumbaro amejiuzulu nafasi yake Tff
Rita wataja sifa za wosia kisheria September 22, 2023 Jamii Ofisi ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Rita wametoa sifa zinazotambulika kisheria za kuufanya wosia kuwa halali
Mahakamani kwa kudanganya uraia apate kitambulisho cha nida September 20, 2023 Jamii Raia wa Marekani afikishwa mahakamani kwa kudanganya uraia ili aweze kupata hati ya kusafiria na kitambulisho cha nida
Mashabiki 4 wa Namungo wapoteza maisha kwenye ajali September 20, 2023 Michezo Basi lililokuwa limebeba mashabiki wa timu ya Namungo kutoka Ruangwa limepata ajali na kusababisha vifo vya watu na wengine kujeruhiwa
Zanzibar yampa mwekezaji Bandari ya Malindi September 19, 2023 Uchumi, Usafiri Serikali ya Zanzibar imekabidhi shughuli za uendeshwaji wa bandari ya bandari kwa mwekezaji ili kuongeza ufanisi
Sanjay Duty apewa ubalozi wa utalii Tanzania September 19, 2023 Jamii, Utalii Muiigizaji kutoka nchini India Sanjay Dutt amepewa ubalozi wa kuitangaza Tanzania kutokana na ushawishi wake na umashughuli alionao
Rais Samia: Mtwara ndio bandari ya korosho September 17, 2023 Biashara, Habari, Usafiri Rais Samia ataka korosho zote zipitie bandari ya mtwara baada ya ukarabati. Na mpango wa kuongeza bandari ya bidhaa nyingine
Rais Samia azindua hospitali ya rufaa, kanda ya kusini September 15, 2023 Afya Raisi Samia Suluhu Hassani amezindua hospitali ya rufaa itakayohudumia mikoa ya kusini na nchi jirani
“Tumeimarisha mahakama ili kuondoa mlundikano wa kesi” September 15, 2023 Siasa Raisi Samia Suluhu Hassani amewataka majaji walioteuliwa na kuapishwa wakatende haki na kuhakikisha na kufanya kazi kwa ufanisi
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma