ZINAZOVUMA:

MAMA ABADALI SURA SANAA NA MICHEZO

Mama Samia amteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya...

Share na:

Raisi Samia Suluhu Hassani amteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Msigwa amechukua nafasi ya Said Othman, ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.

Kabla ya uteuzi huo Gerson Msigwa alikuwa ni Mkurugenzi wa idara ya Habari – Maelezo na pia Msemaji Mkuu wa Serikali.

Msigwa ameshika nyadhifa hizo kwa pamoja tangu Aprili 2021 ambapo kabla ya nafasi hizo, alikuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.

Endelea Kusoma

Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya