Ghana yaondoa adhabu ya kunyongwa Bunge la Ghana limepiga kura kuiondoa adhabu ya kunyongwa mpaka kufa na badala yake iwe ni kifungo cha maisha jera Jamii, Siasa July 26, 2023 Soma Zaidi
Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari kwa raia wake waliopo Kenya July 26, 2023 Siasa Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa ushauri kwa raia wake kutulia majumbani ili kulinda usalama wao kutokana na hali inayoendelea
Mali yakiondoa kifaransa kama lugha rasmi July 26, 2023 Jamii, Siasa Mali imefanya mabadiliko na kukiondoa kifaransa kama lugha rasmi na kukiacha kitumike sehemu za kazi
Simba na Yanga wapangiwa vigongo michuano CAF July 25, 2023 Michezo Baada ya droo kufanyika hii leo hivi ndio vigongo walivyopangiwa timu za Tanzania; Simba, Yanga na KMKM. swali je watatoboa?
Hizi hapa timu zitakazo kutuna na Azam, Singida na JKU July 25, 2023 Michezo Droo ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika imechezeshwa hii leo ratiba ikionesha kuanza mwishoni mwa mwezi wa nane
Marekani yawawekea vikwazo maafisa kutoka Mali July 25, 2023 Siasa Marekani imetangaza kuwawekea vikwazo maafisa wa Jeshi la Mali kwa kosa la kushirikiana na kikundi cha kijeshi cha Wagner
Akaunti ya Benki ya Zambia yadukuliwa July 24, 2023 Teknolojia Akaunti ya mtandao wa 'Facebook' ya Benki kuu ya Zambia imedukuliwa na watu wasiojulikana na kubadilisha baadhi ya taarifa
Watu 8 wafariki baada ya lori la mafuta kulipuka July 24, 2023 Maafa, Nishati Watu nane wamefariki baada ya lori lililobeba mafuta kuanguka pembezoni mwa barabara na baadae kulipuka moto.
Mwanajeshi wa Congo auwa watu 13 July 24, 2023 Jamii, Uhalifu Mwanajeshi kutoka Congo anatafutwa kwa kosa la kuwapiga risasi watu 13 wengi wao wakiwa wanawake na watoto
Walimu watishia kwenda kazini siku mbili pekee July 21, 2023 Elimu Umoja wa walimu wa elimu ya juu nchini Nigeria umetoa tamko kuwa wanachama wake wanaanza kwenda kazini siku kwa wiki
WHO yatoa tahadhari dawa ya kifua ‘Naturcold’ July 20, 2023 Afya Shirika la Afya duniani limetoa tahadhari juu ya uwepo wa dawa ya kifua ya 'Naturcold' inayoonekana sio salama kwa binadamu
Gharama ya mafuta yazidi kupanda Malawi July 20, 2023 Nishati Gharama za usafiri zimepanda mara mbili nchini Malawi huku wasafirishaji hao wakidai kutopata faida kutokana na gharama za mafuta kupanda.