ZINAZOVUMA:

Afrika

Baada ya droo kufanyika hii leo hivi ndio vigongo walivyopangiwa timu za Tanzania; Simba, Yanga na KMKM. swali je watatoboa?
Droo ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika imechezeshwa hii leo ratiba ikionesha kuanza mwishoni mwa mwezi wa nane
Akaunti ya mtandao wa 'Facebook' ya Benki kuu ya Zambia imedukuliwa na watu wasiojulikana na kubadilisha baadhi ya taarifa
Mwanajeshi kutoka Congo anatafutwa kwa kosa la kuwapiga risasi watu 13 wengi wao wakiwa wanawake na watoto
Gharama za usafiri zimepanda mara mbili nchini Malawi huku wasafirishaji hao wakidai kutopata faida kutokana na gharama za mafuta kupanda.
Raisi wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa Raisi wa Urusi, Putin hatohudhuria mkutano wa BRICS badala yake atatuma muwakilishi

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya