Simba na Yanga wapangiwa vigongo michuano CAF Baada ya droo kufanyika hii leo hivi ndio vigongo walivyopangiwa timu za Tanzania; Simba, Yanga na KMKM. swali je watatoboa? Michezo July 25, 2023 Soma Zaidi
Hizi hapa timu zitakazo kutuna na Azam, Singida na JKU July 25, 2023 Michezo Droo ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika imechezeshwa hii leo ratiba ikionesha kuanza mwishoni mwa mwezi wa nane
Marekani yawawekea vikwazo maafisa kutoka Mali July 25, 2023 Siasa Marekani imetangaza kuwawekea vikwazo maafisa wa Jeshi la Mali kwa kosa la kushirikiana na kikundi cha kijeshi cha Wagner
Akaunti ya Benki ya Zambia yadukuliwa July 24, 2023 Teknolojia Akaunti ya mtandao wa 'Facebook' ya Benki kuu ya Zambia imedukuliwa na watu wasiojulikana na kubadilisha baadhi ya taarifa
Watu 8 wafariki baada ya lori la mafuta kulipuka July 24, 2023 Maafa, Nishati Watu nane wamefariki baada ya lori lililobeba mafuta kuanguka pembezoni mwa barabara na baadae kulipuka moto.
Mwanajeshi wa Congo auwa watu 13 July 24, 2023 Jamii, Uhalifu Mwanajeshi kutoka Congo anatafutwa kwa kosa la kuwapiga risasi watu 13 wengi wao wakiwa wanawake na watoto
Walimu watishia kwenda kazini siku mbili pekee July 21, 2023 Elimu Umoja wa walimu wa elimu ya juu nchini Nigeria umetoa tamko kuwa wanachama wake wanaanza kwenda kazini siku kwa wiki
WHO yatoa tahadhari dawa ya kifua ‘Naturcold’ July 20, 2023 Afya Shirika la Afya duniani limetoa tahadhari juu ya uwepo wa dawa ya kifua ya 'Naturcold' inayoonekana sio salama kwa binadamu
Gharama ya mafuta yazidi kupanda Malawi July 20, 2023 Nishati Gharama za usafiri zimepanda mara mbili nchini Malawi huku wasafirishaji hao wakidai kutopata faida kutokana na gharama za mafuta kupanda.
Putin ahofia kwenda Afrika Kusini July 20, 2023 Siasa Raisi wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa Raisi wa Urusi, Putin hatohudhuria mkutano wa BRICS badala yake atatuma muwakilishi
Ethiopia yarejesha matumizi ya mitandao July 19, 2023 Jamii, Teknolojia Ethiopia imeruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii baada ya kuifugia kwa muda wa miezi mitano
Afrika Kusini inabinafsisha bandari yake July 19, 2023 Biashara, Uchumi Afrika Kusini inabinafsisha bandari yake ya Durban upande wa makontena kwa lengo la kuboresha shughuli na kuongeza ufanisi
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma