UN yatilia shaka matokeo ya uchaguzi Zimbabwe Kiongozi wa upinzani Zimbabwe ameungana na umoja wa mataifa na kupinga matokeo ya uchaguzi nchini humo na kudai kuwa uchaguzi haukua wa haki Siasa August 28, 2023 Soma Zaidi
Sudan yapanga kumaliza tofauti zao kurejesha amani August 28, 2023 Siasa Baada ya mapigano ya muda mrefu nchini Sudan hatimae kikosi cha RSF kipo tayari kufanya mazungumzo na jeshi la Sudan
Rais Mnangagwa adhinda urais Zimbabwe August 28, 2023 Siasa Raisi wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amefanikiwa kutetea kiti chake cha urais baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu
ECOWAS yaendelee na maandalizi kuivamia Niger August 24, 2023 Maafa, Siasa Jeshi la ECOWAS limeviweka vikosi vyake vya dharula tayari kwa ajili ya kuivamia Niger licha wananchi wa Niger kuandamana kupinga
Zimbabwe kupiga kura leo kuchagua Rais na wabunge August 23, 2023 Siasa Raia wa Zimbabwe wamejitokeza kwa wingi kupiga kura kumchagua Raisi na wabunge ikiwa no uchaguzi wa pili kufanyika nchini humo
‘Tiktok’ na ‘Telegram’ zapigwa marufuku Somalia August 21, 2023 Siasa, Teknolojia Wizara ya Mawasiliano nchini Somalia imeagiza mamlaka inayosimamia intaneti kuzima uwezo wa kuzifikia mitandao ya Tiktok na Telegram
Ramaphosa aziombea nafasi nchi za Afrika kujiunga BRICS August 21, 2023 Siasa Rais Cyril Ramaphosa amesema nchi zaidi ya 20 duniani kote zinahitaji kujiunga na BRICS na yeye anaunga mkono hilo hasa
Niger waandama kuunga mkono uongozi wa kijeshi August 21, 2023 Siasa Wananchi nchini Niger wameandamana wakiishtumu Ufaransa na kulaani vikwazo vilivyowekwa na ECOWAS ili kumrejesha Raisi Bazoum
AngloGold kuhama soko la hisa na makao makuu August 20, 2023 Habari Wanahisa wa AngloGold ashanti waridhia maombi ya kuhama soko la hisa pamoja na kuhamisha makao makuu ya kampuni hiyo ya
Somalia: leta bidhaa yenye vyeti vya ubora August 20, 2023 Biashara, Uchumi Katika kuhakikisha ubora wa bidhaa zinazoingia na zinazotoka nchini Somalia, nchi hiyo imeagiza bidhaa ziwe na vyeti vya ithibati.
Vyama saba vyaungana kushinda uchaguzi August 18, 2023 Siasa Vyama saba vya upinzani Afrika Kusini vimeungana ili kushinda uchaguzi ujao dhidi ya chama tawala cha ANC
70 wafariki kwa surua Sudan Kusini August 17, 2023 Afya Watoto zaidi ya 70 wamepoteza maisha nchini Sudan Kusini kutokana na ugonjwa wa surua
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma