Rais wa Cameroon afanya mabadiliko ya jeshi akihofia kupinduliwa Raisi wa Cameroon Paul Biya amefanya mabadiliko katika Wizara ya Ulinzi na kuteua viongozi wapya wa jeshi la nchi hiyo Siasa September 1, 2023 Soma Zaidi
Brice Nguema Raisi wa mpito Gabon August 31, 2023 Siasa Wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini Gabon wamemchagua jenerali Brice Nguema kuwa Raisi wa mpito wa nchi hiyo
Jeshi latangaza kuiongoza nchi Gabon August 30, 2023 Siasa Mamlaka ya jeshi nchini Gabon imetangaza kumpindua Rais Ali Bongo na kufuta uchaguzi uliomtangaza kama mshindi wa kiti hicho
ECOWAS yasitisha mpango wa kuivamia Niger August 28, 2023 Siasa Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imesitisha mpango wa kuivamia kijeshi Niger na kujikita zaidi katika mazungumzo
ECOWAS yaendelee na maandalizi kuivamia Niger August 24, 2023 Maafa, Siasa Jeshi la ECOWAS limeviweka vikosi vyake vya dharula tayari kwa ajili ya kuivamia Niger licha wananchi wa Niger kuandamana kupinga
Niger waandama kuunga mkono uongozi wa kijeshi August 21, 2023 Siasa Wananchi nchini Niger wameandamana wakiishtumu Ufaransa na kulaani vikwazo vilivyowekwa na ECOWAS ili kumrejesha Raisi Bazoum
Uamuzi wa kuivamia Niger kujadiliwa leo August 17, 2023 Siasa Viongozi wa kijeshi wa Jumuiya ya ECOWAS wanakutana leo nchini Ghana kujadili kuhusu kuivamia Niger ili kurudisha demokrasia
Uhasama washika kasi nchi za Afrika Magharibi August 15, 2023 Siasa Niger imewarudisha nyumbani mabalozi wake waliokuwa katika nchi za Ivory Coast pamoja na Nigeria
Rais aliyepinduliwa kufunguliwa mashatka Niger August 14, 2023 Siasa Jeshi nchini Niger limetangaza kumfungulia kesi Rais Mohamed Bazoum kumtuhumu kwa makosa ya uhaini alioifanyia nchi hiyo
kituo cha redio chafungiwa Burkina Faso August 11, 2023 Siasa Burkina Faso imefungia moja ya redio nchini humo kwa kufanya kipindi chenye lengo la kukosoa uongozi wa kijeshi nchini Niger
EU yaingilia mzozo Niger August 11, 2023 Siasa Umoja wa Ulaya umekosoa kinachoendelea Niger na kuamua kuiunga mkono ECOWAS katika juhudi za kurudisha amani nchini humo
ECOWAS yapeleka kikosi Niger August 11, 2023 Siasa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeidhinisha kupeleka kikosi cha jeshi nchini Niger ili kwenda kurudisha amani
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma