Kesi za kubambikiwa bado zipo tendeni haki Raisi wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linatenda haki kwa wananchi na sio kuwakomoa Jamii September 4, 2023 Soma Zaidi
Mabadiliko Baraza la Mawaziri ni sawa na mabadiliko ya timu mpira September 4, 2023 Siasa Spika wa Bunge Dkt Tulia Akson amesema Mawaziri ambao hawajachaguliwa wasijali kwani ni jambo la kawaida
Wenye degree na masters wakafundishe shule za msingi August 31, 2023 Elimu Raisi wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amesema ili kukuza elimu ya Tanzania basi walimu wenye shahada na
Kope bandia zinapoteza uwezo wa kuona August 31, 2023 Afya Matumizi ya kope bandia na lenzi za miwani zinasababisha uoni hafifu kwa mtu anaetumia bila kufanya vipimo
Marufuku kutumia ‘WhatsApp’ kutuma nyaraka za serikali August 31, 2023 Siasa, Teknolojia Matumizi ya WhatsApp yamepigwa marufuku kutumika katika kutuma nyaraka za serikali badala yake zitumike barua
Baadhi ya maeneo kukosa umeme Dar kuanzia Septemba 1 August 31, 2023 Jamii, Nishati Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limetangaza kuwa hakutakuwa na umeme katika baadhi ya maeneo ya Dar es salaam
Kwanini Feisal hajaitwa timu ya Taifa? August 31, 2023 Michezo Baada ya kikosi cha timu ya Taifa kutangazwa maswali yamekua mengi juu ya kiungo mshambuliaji kutoka Azam 'Fei toto' kwanini
Biashara kuwa somo la lazima sekondari August 30, 2023 Elimu Serikali imesema ina mpango wa kulifanya somo la biashara kuwa somo la lazima kwa shule za sekondari
Spika azuia mjadala mkataba wa ‘dp world’ August 29, 2023 Siasa, Uchumi Spika wa Bunge Dkt Tulia Akson ametoa muongozo kuhusu mjadala wa mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai
Serikali yatoa vigezo kuruhusu uwekezaji August 29, 2023 Biashara, Siasa, Uchumi Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amesema Tanzania ina fursa nyingi sana za uwekezaji hivyo lazima kuwa ni
Bingwa wa Quran kutua Tanzania August 29, 2023 Jamii Msomaji Bingwa wa Qur'an kutoka Misri anatarajiwa kuingia nchini Tanzania kufuatia mualiko wa taasisi ya 'Khidma Tul Quran'
Asilimia 50 ya Watanzania hawaifahamu Katiba August 28, 2023 Elimu Waziri wa Katika na Sheria Dkt Damas Ndumbaro amesema watanzania hawaijui Katiba na wengine hawajawahi kuiona kabisa