Hali yazidi kuwa mbaya Sudan, 186 wafariki. Zaidi ya watu 186 wamepoteza maisha huku zaidi 1800 wakijeruhiwa kufuatia mapigano yanayoendelea Khartoum Sudan. Uhalifu April 18, 2023 Soma Zaidi
AU yaitaka Sudan kusitisha mapigano. April 17, 2023 Jamii, Uhalifu AU yatoa wito kwa Sudan kusitisha mapigano na kutafuta suluhisho la amani kwa haraka na kuheshimu matakwa ya raia.
10 wapoteza maisha wakijaribu kuingia Ulaya. April 13, 2023 Jamii, Uhalifu Watu 10 wamepoteza maisha baada ya boti waliokuwa wakitumia kuingia Ulaya kwa njia za panya kuzama katika bahari ya mediteraniani.
M23 yasalimu amri. April 12, 2023 Uhalifu Waasi wa M23 wasalimu amri katika Jimbo la Nord Kivu mashariki ya nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Misri yang’ara mashindano ya Quran. April 9, 2023 Jamii Mshiriki kutoka Misri ameibuka mshindi katika mashindano makubwa barani Afrika ya kuhifadhisha Quran yanayoandaliwa na taasisi ya Al Hikma Foundation
Afrika kusini kumfuata mtuhumiwa wao. April 9, 2023 Uhalifu Muhalifu aliyetoroka nchini Afrika kusini amekamatwa Tanzania na anatarajiwa kurudishwa nchini kwake ili kuendelea kutumikia hukumu yake.
Msafara wa amani washambuliwa Somalia. April 5, 2023 Siasa, Uhalifu Msafara wa wasuluhishi amani wa umoja wa Afrika umeshambuliwa katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somalia na kundi la kigaidi.
Senegal inataka amani. April 3, 2023 Siasa Viongozi nchini Senegal wameshauriana na kuamua kusitisha maandamano yaliyotarajiwa kufanyika hii leo tarehe 3 Machi.
Idadi ya vifo yaongezeka Malawi. March 16, 2023 Jamii, Maafa Idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Freddy imeongezeka na kufikia 99 upande wa Malawi na kufikia 10 kwa upande
Kimbunga Freddy chaua 11 Malawi. March 13, 2023 Jamii, Maafa Watu 11 wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Freddy kilichipelekea mvua kubwa huko Malawi
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma