ZINAZOVUMA:

Afrika

Zaidi ya watu 186 wamepoteza maisha huku zaidi 1800 wakijeruhiwa kufuatia mapigano yanayoendelea Khartoum Sudan.
AU yatoa wito kwa Sudan kusitisha mapigano na kutafuta suluhisho la amani kwa haraka na kuheshimu matakwa ya raia.
Waasi wa M23 wasalimu amri katika Jimbo la Nord Kivu mashariki ya nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Mshiriki kutoka Misri ameibuka mshindi katika mashindano makubwa barani Afrika ya kuhifadhisha Quran yanayoandaliwa na taasisi ya Al Hikma Foundation
Muhalifu aliyetoroka nchini Afrika kusini amekamatwa Tanzania na anatarajiwa kurudishwa nchini kwake ili kuendelea kutumikia hukumu yake.
Msafara wa wasuluhishi amani wa umoja wa Afrika umeshambuliwa katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somalia na kundi la kigaidi.
Viongozi nchini Senegal wameshauriana na kuamua kusitisha maandamano yaliyotarajiwa kufanyika hii leo tarehe 3 Machi.
Idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Freddy imeongezeka na kufikia 99 upande wa Malawi na kufikia 10 kwa upande
Watu 11 wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Freddy kilichipelekea mvua kubwa huko Malawi

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya