Tanzania kuwarejesha wanafunzi walioko Sudan. Nchi mbalimbali Afrika na nje ya Afrika zimeanza utaratibu wa kuwaondoa raia wao katika nchi ya Sudan ili kulinda usalama wao. Jamii, Siasa April 25, 2023 Soma Zaidi
Kagame: Urusi ina haki ya kuwa popote barani Afrika. April 20, 2023 Siasa Raisi wa Rwanda Paul Kagame amesema nchi ya Urusi ina haki ya kuwa popote barani Afrika.
Tanzania yaitaka Sudan kusitisha mapigano. April 19, 2023 Jamii, Uhalifu Serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeitaka Sudan kusitisha mapigano ili kulinda mustakabali wa ukuuaji wa nchi hiyo.
Hali yazidi kuwa mbaya Sudan, 186 wafariki. April 18, 2023 Uhalifu Zaidi ya watu 186 wamepoteza maisha huku zaidi 1800 wakijeruhiwa kufuatia mapigano yanayoendelea Khartoum Sudan.
AU yaitaka Sudan kusitisha mapigano. April 17, 2023 Jamii, Uhalifu AU yatoa wito kwa Sudan kusitisha mapigano na kutafuta suluhisho la amani kwa haraka na kuheshimu matakwa ya raia.
10 wapoteza maisha wakijaribu kuingia Ulaya. April 13, 2023 Jamii, Uhalifu Watu 10 wamepoteza maisha baada ya boti waliokuwa wakitumia kuingia Ulaya kwa njia za panya kuzama katika bahari ya mediteraniani.
M23 yasalimu amri. April 12, 2023 Uhalifu Waasi wa M23 wasalimu amri katika Jimbo la Nord Kivu mashariki ya nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Misri yang’ara mashindano ya Quran. April 9, 2023 Jamii Mshiriki kutoka Misri ameibuka mshindi katika mashindano makubwa barani Afrika ya kuhifadhisha Quran yanayoandaliwa na taasisi ya Al Hikma Foundation
Afrika kusini kumfuata mtuhumiwa wao. April 9, 2023 Uhalifu Muhalifu aliyetoroka nchini Afrika kusini amekamatwa Tanzania na anatarajiwa kurudishwa nchini kwake ili kuendelea kutumikia hukumu yake.
Msafara wa amani washambuliwa Somalia. April 5, 2023 Siasa, Uhalifu Msafara wa wasuluhishi amani wa umoja wa Afrika umeshambuliwa katika mji mkuu wa Mogadishu nchini Somalia na kundi la kigaidi.
Senegal inataka amani. April 3, 2023 Siasa Viongozi nchini Senegal wameshauriana na kuamua kusitisha maandamano yaliyotarajiwa kufanyika hii leo tarehe 3 Machi.
Idadi ya vifo yaongezeka Malawi. March 16, 2023 Jamii, Maafa Idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Freddy imeongezeka na kufikia 99 upande wa Malawi na kufikia 10 kwa upande