Ufaransa imesitisha misaada Burkina Faso Serikali ya Ufaransa imejibu mapigo kwa kutangaza kusitisha misaada ya bajeti na maendeleo nchini Burkina Faso Siasa August 7, 2023 Soma Zaidi
Serikali ya Senegal yalaumiwa kuhusu hali ya Sonko August 7, 2023 Afya, Siasa Kiongozi wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko amepelekwa hospitali baada ya kutokula kwa muda akiwa gerezani
Wiki imekamilika, hofu imetanda Niger August 7, 2023 Siasa Jeshi la Niger limelazimika kuifunga anga yake kutokana na hofu ya kuvamiwa na mataifa jirani kuongezeka wakati wiki iliyotolewa na
Ajali nyingne, ziwa Victoria August 3, 2023 Jamii Watu 20 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama maji kwenye ziwa Victoria nchini Uganda
Waziri Mkuu autaka urais,Congo August 3, 2023 Siasa Aliyekuwa Waziri Mkuu wa DRC Augustin Matata Ponyo ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais nchini humo katika uchaguzi wa
“Siogopi vitisho” kiongozi wa jeshi, Niger August 3, 2023 Siasa Licha ya vitisho vya kimataifa na vile vya jumuiya ya ECOWAS, kiongozi wa jeshi la Niger amesema hatomrejesha madarakani Rais
Senegal yaufungia mtandao wa ‘Tiktok’ August 3, 2023 Teknolojia Serikali nchini Senegal imefungia mtandao wa 'Tiktok' katika kile ilichokiita ni hatua ya kuleta utulivu na usalama kutokana na maandamano
Miaka 5 jela kwa kumkosoa Mfalme wa Morocco August 3, 2023 Jamii Mtu mmoja nchini Morocco amehukumiwa miaka 5 jela kwa kosa la kuandika ujumbe kwenye 'Facebook' uliotafsiriwa ni kumkosoa Mfalme wa Morocco
Timu za Afrika zafanya vizuri kombe la dunia August 3, 2023 Michezo Timu za Afrika za Afrika Kusini na Nigeria zimeweka rekodi katika mashindano ya kombe la dunia la wanawake nchini New
Raia wa Ufaransa na Ulaya waondoka Niger August 2, 2023 Siasa Ndege ya kwanza iliyobeba raia wa Ulaya imeondoka nchini Niger kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika nchini humo
Viongozi ECOWAS wakutana kuijadili Niger August 2, 2023 Siasa Viongozi wa jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi ECOWAS wanakutana kujadili hali ya Niger kutokana na mapinduzi ya
Serikali imefuta chama cha upinzani, Senegal August 1, 2023 Siasa Serikali nchini Senegal imekifuta chama cha mwanasiasa maarufu na mpinzani wa Rais Sally, Ousmane Sonko kujihusisha na siasa nchini humo
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma