kutumia kuni kwa siku ni sawa na kuvuta sigara 300 Naibu spika wa Bunge la Tanzania Mhe Azam Zungu amesema matumizi ya kuni au mkaa Kwa siku moja ni sawa na kuvuta sigara 300 Nishati August 18, 2023 Soma Zaidi
ATCL yatangaza ujio wa ndege zingine nchini August 15, 2023 Biashara, Usafiri Shirika la ndege la ATCL limesema mpaka sasa kuna ndege 13 nchini na mpaka kufika 2024 tayari shirika hilo litakua na ndege 16
Wanaodaiwa na NHC kutangazwa kwenye vyombo vya habari August 15, 2023 Biashara, Jamii Shirika la Nyumba la Taifa limekuja na mpango wa kuwatangazia wadaiwa wake sugu wote ili makampuni mengine yasifanye nao kazi
Serikali ya Kenya yarudisha ruzuku ya mafuta August 15, 2023 Nishati Serikali nchini Kenya imebadilisha msimamo wake na kuuamua kurudisha ruzuku ya mafuta huku ikipambana bei ya bidhaa hiyo isipande
SADC kuwekeza katika rasilimali watu na viwanda August 14, 2023 Biashara, Uchumi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Africa imejipanga kuwekeza katika rasilimali watu ili kuboresha na kukuza sekta ya viwanda
Mahakama yatoa uamuzi, yabariki uwekezaji bandari August 10, 2023 Biashara, Uchumi Mahakama Kuu kanda ya Mbeya Leo imebariki mkataba wa IGA kuwa ni halali na imesema malalamiko yaliyotolewa hayana mashiko
Bei ya petrol yazidi kupanda Zanzibar August 9, 2023 Nishati Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za nishati na maji Zanzibar ZURA imetangaza kupanda kwa bei ya mafuta inayoanza kutumika hii
Uamuzi mkataba wa bandari wafikiwa August 7, 2023 Biashara, Uchumi Huu ndio uamuzi wa Mahakama Kuu mkoani Mbeya kuhusu kesi ya kupinga mkataba wa ushirikiano wa bandari kati ya Tanzania
Wanaouza sukari zaidi ya sh 3000 kukamatwa August 3, 2023 Biashara, Uchumi Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amewataka maofisa biashara wote nchini kukagua duka kwa duka bei ya sukari
Sababu ya kushuka thamani kwa sarafu za EAC August 3, 2023 Biashara, Uchumi Uzalishaji mdogo na utegemezi wa bidhaa kutoka nje ndio sababu ya kushuka thamani kwa sarafu za Afrika Mashariki
EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta August 2, 2023 Nishati Kushuka kwa shilingi dhidi ya dola kumesababisha bei ya mafuta ya petrol pamoja na dizeli kupanda
Kuhusu nishati ya umeme ukweli utatawala July 31, 2023 Nishati Waziri wa Nishati Januari Makamba amesema katika suala la nishati ya umeme hawatotoa taarifa yoyote ya uongo kwa wananchi hata
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma