Waziri Mkuu wa Slovakia aonekana baada ya shambulio la risasi June 6, 2024 Afya, Habari, Siasa, Uhalifu Waziri Mkuu wa Slovakia aonekana kwenye hotuba yake kupitia mitandao wiki 3 baada ya shambulio la kujaribu kutaka kumuua kwa
Wavuvi ruksa kuuza samaki popote – Waziri Mkuu June 3, 2024 Biashara, Jamii, Uchumi Waziri Mkuu Kassim majaliwa amewapa ruhusa wavuvi wa samaki na dagaa kuuza popote pale nchini, bila kujali walipovuliwa samaki hao.
Waziri Mkuu wa Slovakia anusurika jaribio la kumuua May 16, 2024 Siasa, Uhalifu Waziri Mkuu wa Slovakia amejeruhiwa vibaya katika jaribio lakutaka kumuua kwenye mji wa handlova baada ya kurushiwa risasi 5 siku
Waziri Mkuu: Azindua Kauli mbiu ya sherehe za Muunganao April 8, 2024 Habari Waziri Mkuu Kassim majaliwa azindua Nembo na Kauli mbiu ya maadhimisho miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Rais Diomaye amteua Ousmanne Sonko kuwa Waziri Mkuu April 3, 2024 Siasa Ousmane Sonko ateuliwa kuwa waziri mkuu wa serikali mpya ya Rais Diomaye faye wa Senegal, na kutilia mkazo kauli mbiu
JUDITH SUMINWA Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke DRC April 2, 2024 Habari Bi. Judith Suminwa Tuluka aliyekuwa Waziri wa Mipango nchini DRC ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini humo
Akamatwa kwa kuchora katuni inayomkejeli Waziri Mkuu September 22, 2023 Jamii, Siasa Mchoraji katuni maarufu nchini Tunisia amekamatwa kwa kuchora katuni inayomkejeli Waziri Mkuu wa nchi hiyo
Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Dkt Biteko kuhusu mafuta September 7, 2023 Nishati Waziri Mkuu amemuagiza Naibu Waziri Mkuu kuhakikisha anashughulikia suala la mafuta na kutoa taarifa kwa wananchi baada ya wiki moja
Waziri Mkuu aagiza wanaowahujumu wakulima wakamatwe August 14, 2023 Kilimo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kuwa watendaji wote wanaobainika kuiba pembejeo za wakulima wachukuliwe hatua
Waziri Mkuu autaka urais,Congo August 3, 2023 Siasa Aliyekuwa Waziri Mkuu wa DRC Augustin Matata Ponyo ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais nchini humo katika uchaguzi wa
Waziri Mkuu awaalika wawekezaji sekta ya mbolea July 28, 2023 Biashara, Kilimo, Uchumi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobeba waje kuwekeza kwenye sekta ya mbolea ili kufufua viwanda vya mbolea nchini
Waziri Mkuu atoa siku 7 kwa TARURA na DAWASA July 24, 2023 Afya, Jamii Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku saba kwa TARURA na DAWASA kukamilisha ukarabati wa barabara inayoingia muhimbili
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma
Uganda: Afungwa miaka 6 jela kwa kumtukana Rais Afrika, Afrika Mashariki July 11, 2024 Kijana Edward awebwa ahukumiwa miaka 6 jela nchini Uganda, kwa kumtukana rais