Mwili wa mwanafunzi waokotwa vichakani April 13, 2024 Jamii Mwili mwanafunzi wa darasa la sita umekutwa vichakani baada ya kuuwawa, Kata ya Nyakato, wilayani bukoba vijijini Mkoa wa Kagera.
FINLAND: wanafunzi washambuliwa na mwenzao April 3, 2024 Habari Takriban wanafunzi 12 wamefariki na wawili kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na mwanafunzi mwenzao kusini mwa Finland
NIGERIA: Zaidi ya wanafunzi 130 waliotekwa wameokolewa March 25, 2024 Jamii, Maafa, Siasa Wanafunzi 136 waliotekwa mwezi uliopita waokolewa na majeshi ya Nigeria katika mji wa Zamfara karibu na Kaduna bila majeraha.
Ufaransa yazuia wanafunzi kuvaa abaya shuleni August 28, 2023 Elimu, Jamii Wizara ya elimu nchini Ufaransa imepiga marufuku vazi la abaya kwa wanafunzi nchini humo kwani hawataki kuwepo na viashiria vya
Canada yanufaisha wanafunzi wa Tanzania July 20, 2023 Elimu Serikali ya Tanzania imesaini makubaliano na nchi ya Canada kupokea fedha zitakazo wasaidia wanafunzi katika mradi wa 'Kila Binti Asome'
Helping Hand yaleta furaha kwa wanafunzi July 19, 2023 Elimu, Jamii Taasisi ya 'Helping Hand for relief and Development Africa' imegawa viti na meza vya kusomea kwa shule ya sekondari Mpapa
Wanafunzi wanamaliza hela kwenye ‘kubeti’ July 10, 2023 Elimu, Jamii Kundi kubwa la wanafunzi linamaliza hela ya ada kwenye kamari na kupelekea kuhangaika kipindi cha mitihani vyuoni.
“Wanafunzi fanyeni mazoezi” April 26, 2023 Afya Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ahimiza mazoezi kwa wanafunzi kwa lengo la kupunguza magonjwa yasiyo ambukiza.
Jokate akabidhi baiskeli 200 kwa wanafunzi. April 25, 2023 Elimu, Jamii Mkuu wa wilaya ya korogwe Mhe Jokate Mwigelo amekabidhi baiskeli 200 kwa wanafunzi wa kike ili kupunguza utoro shuleni.
Tanzania kuwarejesha wanafunzi walioko Sudan. April 25, 2023 Jamii, Siasa Nchi mbalimbali Afrika na nje ya Afrika zimeanza utaratibu wa kuwaondoa raia wao katika nchi ya Sudan ili kulinda usalama
An nahl yawapongeza wanafunzi waliofanya vizuri. March 20, 2023 Jamii Taasisi ya An nahl imewapongeza wanafunzi waliohitimu kidatu cha nne mwaka 2022 na kupata katokeo mazuri.
VISA YA MATIBABU ITARAHISISHA KUKUZA UTALII TIBA June 23, 2024 Afya, Utalii Professa Janabi aishauri serikali kuharakisha mchakato wa visa ya matibabu ili kuongeza utalii tiba nchini
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma
Uganda: Afungwa miaka 6 jela kwa kumtukana Rais Afrika, Afrika Mashariki July 11, 2024 Kijana Edward awebwa ahukumiwa miaka 6 jela nchini Uganda, kwa kumtukana rais