Vifo jengo lililoporomoka Afrika Kusini vyafika 23 May 13, 2024 Maafa Manispaa ya George Afrika Kusini imetangaza kuongezeka kwa vifo vilivyosababishwa na jengo kuporomoka katika manispaa hiyo
Afrika Kusini yaanza uchunguzi wa jengo kuporomoka May 9, 2024 Maafa Mamlaka zinazosimamia eneo lilipoporomoka jengo nchini Afrika kusini zimeanza kuchunguza sababu za jengo hilo kuporomoka na uokoaji
Bi Mapisa, Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za Rushwa April 4, 2024 Siasa Spika wa Bunge la Afrika Kusini kwa sasa na waziri wa zamani wa Ulinzi amejiuzulu nafasi hiyo kupisha uchunguzi wa
Wanajeshi wa Afrika Kusini walalamikia ukosefu wa vifaa DRC April 2, 2024 Habari Wanajeshi wa Afrika Kuisni waliopelekwa nchini DRC kwa ajili ya kupambana na vikosi vya M23 walalamika kukosa vifaa na mafunzo
8 wafariki kwa shoti ya umeme baada ya mvua kubwa Afrika Kusini September 27, 2023 Jamii Watu 8 wakiwepo watoto wa nne wamepoteza maisha baada ya kupigwa na shoti ya umeme uliosababishwa na mvua kubwa siku kadhaa
Marekani na Afrika Kusini kuanza chanjo ya Ukimwi September 22, 2023 Afya Marekani na Afrika Kusini zitakua nchi za kwanza katika kufanya majaribio ya chanjo mpya ya Ukimwi
Wananchi wapangiwa namna ya kutumia maji Afrika Kusini September 18, 2023 Jamii Kutokana na uhaba wa maji, wananchi Afrika Kusini wamepangiwa namna ya kutumia maji ili yaendelee kupatikana
Wajawazito wanaokunywa pombe kushtakiwa Afrika Kusini September 7, 2023 Jamii Naibu Waziri wa Maendeleo ya jamii Afrika Kusini amesema unywaji wa pombe wa wanawake wajawazito kuna athari kwa mtoto
Putin ahofia kwenda Afrika Kusini July 20, 2023 Siasa Raisi wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa Raisi wa Urusi, Putin hatohudhuria mkutano wa BRICS badala yake atatuma muwakilishi
Afrika Kusini inabinafsisha bandari yake July 19, 2023 Biashara, Uchumi Afrika Kusini inabinafsisha bandari yake ya Durban upande wa makontena kwa lengo la kuboresha shughuli na kuongeza ufanisi
Afrika Kusini watunga sheria kumkwepa Putin May 31, 2023 Siasa Afrika Kusini inatunga sheria mpya ambayo itaiweka sehemu salama dhidi ya uamuzi wa kumkamata Raisi wa Urusi Vladimir Putin
Afrika Kusini: Umeme unashusha uchumi May 23, 2023 Uchumi Kukatika kwa umeme mara kwa mara kunasababisha kuzorota kwa hali ya uchumi nchini Afrika Kusini
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma
Uganda: Afungwa miaka 6 jela kwa kumtukana Rais Afrika, Afrika Mashariki July 11, 2024 Kijana Edward awebwa ahukumiwa miaka 6 jela nchini Uganda, kwa kumtukana rais