Jokate akabidhi baiskeli 200 kwa wanafunzi. Mkuu wa wilaya ya korogwe Mhe Jokate Mwigelo amekabidhi baiskeli 200 kwa wanafunzi wa kike ili kupunguza utoro shuleni. Elimu, Jamii April 25, 2023 Soma Zaidi
Tafiti: “Energy drinks” zinaweza kuua. April 25, 2023 Afya Tafiti zinaonesha kuwa unywaji wa "energy drinks" kupita kiasi unaweza sababisha magonjwa ya moyo au hata vifo vya ghafla.
Twaha kiduku atetea ubingwa. April 23, 2023 Michezo Bondia wa Tanzania Twaha Kiduku ameendelea kuweka heshima ulingoni baada ya kumtandika Iago Kiziria kwa ponti.
Samia: kumbadilisha kijana wakiume si rahisi. April 23, 2023 Jamii, Siasa Raisi wa Samia amesema ni rahisi kumbadilisha binti wa kike aleyepotea na akarudi kuwa mwanamke anaejitambua.
Muft: Mwezi haujaandama tunakamilisha 30. April 20, 2023 Jamii Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania ametangaza kuendelea na swaumu kwa siku ya kesho na Eid inatarajiwa kuwa ni siku
Dar yatajwa kuwa jiji tajiri duniani. April 20, 2023 Uchumi Dar es salaam yatajwa kushika nafasi ya 85 miongoni mwa majiji tajiri duniani na nafasi ya 12 barani Afrika.
Serikali yaomba ipewe muda kuhusu ATCL. April 20, 2023 Siasa, Uchumi Serikali imeomba ipewe muda kufanyia kazi suala la kuimilikisha ndege shirika la ndege la Tanzania ATCL kama ilivyopendekezwa na C.A.G.
Kituo cha biashara Afrika mashariki chajengwa Ubungo. April 20, 2023 Biashara, Habari Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa amehudhuria hafla ya uwekwaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa kituo cha kibiashara cha Afrika
Ratiba swala ya Eid hii hapa. April 19, 2023 Jamii Baraza la waislamu Tanzania Bakwata limesema swala ya Eid inatarajiwa kuswaliwa katika msikiti wa Mfalme Mohammed VI kinondoni.
Serikali kuweka somo la maadili shuleni. April 18, 2023 Elimu, Jamii Serikali imesema itaweka somo la maadili katika mtaala wa elimu ili kukabiliana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili.
TARI kuboresha mbinu za umwagiliaji. April 17, 2023 Kilimo Taasisi ya kilimo na utafiti Tanzania yaboresha mbinu za umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji wa mbegu na shughuli za utafiti.
Miaka 30 jela mapenzi ya jinsia moja. April 17, 2023 Jamii Waziri Nape afungia tovuti na mitandao ya kijamii inayotumika kutangaza mapenzi ya jinsia moja nchini.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma