Giza totoro Zanzibar na Jiji la Dar Maeneo ya Jiji la Dar na Zanzibar yametawaliwa na kelele za jenereta tangu saa 3 asubuhi kutokana na kukosekana umeme hadi jioni hii. Habari August 22, 2023 Soma Zaidi
Muwekezaji barabara ya Kulipia Kibaha – Chalinze August 22, 2023 Uchumi Serikali inatarajiwa kutangaza muwekezaji wa barabara ya kasi kutoka kibaha hadi chalinze machi 2024. Kuwekezaji huyo atatoa fedha za ujenzi
MCHECHU: Makampuni 28 yatajitegemea August 20, 2023 Uchumi Mabadiliko makubwa ya kiutndaji yamefanyika katika kikao kazi baina ya Msajili wa Hazina, Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi
Oryx wamwaga mitungi kagera August 20, 2023 Habari Oryx Gas Tanzania wagawa mitungi ya gesi kwa mama ntilie, wafanyakazi sekta ya afya na walimu mkoani Kagera.
kutumia kuni kwa siku ni sawa na kuvuta sigara 300 August 18, 2023 Nishati Naibu spika wa Bunge la Tanzania Mhe Azam Zungu amesema matumizi ya kuni au mkaa Kwa siku moja ni sawa
Dkt Slaa aachiwa kwa dhamana August 18, 2023 Siasa Balozi Dkt Willibrod Slaa ameachiwa kwa dhamana hii Leo katika kituo cha polisi cha Osterbay jijini Dar es salaam
Thamani ya dola yazidi kuwa tishio August 18, 2023 Uchumi Kuendelea kupanda kwa thamani ya dola dhidi ya shilingi kutasababisha kupanda bei kwa bidhaa nyingi nchini
Mandonga ruksa kupanda ulingoni August 18, 2023 Michezo Bondia Karim Mandonga ameruhusiwa kuendelea na mapambano yake yanayofata baada ya uchunguzi kuonesha kuwa hana tatizo
JKCI kuwa hospitali kubwa ya moyo Afrika August 18, 2023 Afya Serikali ya China imesema itaongeza msaada wa kifedha kwa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete na kulifanya kuwa hospitali kubwa
TMDA iongeze ufanisi kudhibiti dawa feki August 17, 2023 Afya Mamlaka Udhibiti wa Dawa na Vifaa tiba imetakiwa kuongeza ufanisi katika kukagua dawa na vifaa vivyotoka nje ya nchi
Shule ya msingi mwisho darasa la sita August 17, 2023 Elimu Taasisi ya Elimu Tanzania imetoa mtaala mpya wa elimu ambapo kuanzia sasa shule ya msingi mwisho itakua ni darasa la
Wakazi anataka kusilimu? August 17, 2023 Jamii Msanii wa Hip Hop Webiro Wasira 'Wakazi' amesema amevutiwa na imani ya uislamu na watu wasishangae ikitokea akaslimu
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma