” Niliachwa na mwanamke wangu kisa Yanga” Mchezaji wa Azam FC Feisal Salum amesema wakati wa sakata lake dhidi ya Yanga aliachwa na mapenzi wake alietarajia kumuoa Michezo October 3, 2023 Soma Zaidi
Rais Samia ashiriki maonesho ya kimataifa ya mboga na matunda October 3, 2023 Kilimo Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani ameshiriki maonesho ya kimataifa ya mboga na matunda huko
Tanzania kupokea ndege mpya ya masafa ya kati October 2, 2023 Usafiri Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea ndege mpya ya masafa ya kati kesho tarehe 3 Oktoba 2023 na nyingne za mazoezi
Mobhare Matinyi msemaji mpya wa serikali October 2, 2023 Siasa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani amemteua aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya temeke
“Sitagombea tena urais 2025 Raisi Samia anatosha September 27, 2023 Siasa Mwanasiasa mkongwe Zanzibar aliyewahi kuomba kugombea Urais wa Tanzania amesema hana mpango huo tena
Tahadhari dhidi ya mvua za Elnino September 27, 2023 Afya, Jamii Serikali kupitia wizara ya Afya imetoa tahadhari kufuatia mvua kubwa za Elnino zinazotarjiwa kuanza mwishoni mwa Septemba
100 wafariki kwa ajali ya moto wakiwa harusini September 27, 2023 Jamii Watu 100 wamepoteza maisha na wengine 150 kujeruhiwa katika ajali ya moto iliyotokea harusini nchini Iraq
Rais Samia amuondoa Chande TTCL na kumpeleka Posta September 26, 2023 Siasa Raisi Samia Suluhu Hassani amefanya mabadiliko na uteuzi mbalimbali huku akimhamisha tena Bw. Maharage Chande
Tanzania na Marekani kushirikiana kuboresha mifumo ya Afya September 26, 2023 Afya Wizara ya Afya chini ya Waziri wake Ummy Mwalimu imeingia makubaliano na Marekani katika kuboresha mifumo ya maabara za Taifa
Tanzania ina mazingira rafiki kwa wawekezaji September 25, 2023 Uchumi Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Nape Nauye amesema Tanzania ina mazingira rafiki kwa wawekezaji
NSSF kuuza mradi wa kigamboni kurudishwa fedha zilizowekezwa September 25, 2023 Uchumi Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii NSSF unatarajia kuuza mradi wa Dege eco village uliopo kigamboni kurudishwa fedha zilizowekezwa
B.O.T kuwawezesha mitaji wachimbaji wa dhahabu September 25, 2023 Madini, Nishati Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuwawezesha mitaji wachimbaji wa madini ili kuongeza wa dhahabu ambayo hununuliwa na Benki hiyo
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma