Kada wa CCM Arusha afariki Dunia Kada na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha amefariki Jijini Dar, na anatarajiwa kuzikwa Arusha kulingana na mipango ya Familia yake. Jamii, Siasa October 27, 2023 Soma Zaidi
INDIA kununua mbaazi za Tanzania October 14, 2023 Biashara, Uchumi Mama samia arudi kutoka India akiwa na uhakika wa soko la mbaazi, uwekezaji kwenye zao la Korosho pamoja na kiwanda
Hali halisi ya watanzania Israel October 9, 2023 ISRAEL - GAZA, Siasa Balozi Alex Kalua atoa taarifa ya usalama wa watanzania waliopo Israel, na kuongeza kuwa wawili kati ya 350 bado hawajapatikana.
” Niliachwa na mwanamke wangu kisa Yanga” October 3, 2023 Michezo Mchezaji wa Azam FC Feisal Salum amesema wakati wa sakata lake dhidi ya Yanga aliachwa na mapenzi wake alietarajia kumuoa
Rais Samia ashiriki maonesho ya kimataifa ya mboga na matunda October 3, 2023 Kilimo Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani ameshiriki maonesho ya kimataifa ya mboga na matunda huko
Tanzania kupokea ndege mpya ya masafa ya kati October 2, 2023 Usafiri Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea ndege mpya ya masafa ya kati kesho tarehe 3 Oktoba 2023 na nyingne za mazoezi
Mobhare Matinyi msemaji mpya wa serikali October 2, 2023 Siasa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani amemteua aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya temeke
“Sitagombea tena urais 2025 Raisi Samia anatosha September 27, 2023 Siasa Mwanasiasa mkongwe Zanzibar aliyewahi kuomba kugombea Urais wa Tanzania amesema hana mpango huo tena
Tahadhari dhidi ya mvua za Elnino September 27, 2023 Afya, Jamii Serikali kupitia wizara ya Afya imetoa tahadhari kufuatia mvua kubwa za Elnino zinazotarjiwa kuanza mwishoni mwa Septemba
100 wafariki kwa ajali ya moto wakiwa harusini September 27, 2023 Jamii Watu 100 wamepoteza maisha na wengine 150 kujeruhiwa katika ajali ya moto iliyotokea harusini nchini Iraq
Rais Samia amuondoa Chande TTCL na kumpeleka Posta September 26, 2023 Siasa Raisi Samia Suluhu Hassani amefanya mabadiliko na uteuzi mbalimbali huku akimhamisha tena Bw. Maharage Chande
Tanzania na Marekani kushirikiana kuboresha mifumo ya Afya September 26, 2023 Afya Wizara ya Afya chini ya Waziri wake Ummy Mwalimu imeingia makubaliano na Marekani katika kuboresha mifumo ya maabara za Taifa