Funga (swaumu) yake yamponza. Mchezaji akosa nafasi ya kucheza sababu ya msimamo wake wa kutekeleza ibada ya funga ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Jamii, Michezo April 4, 2023 Soma Zaidi
OPEC+ kupunguza uzalishaji mafuta. April 3, 2023 Biashara Muungano wa OPEC umepanga kupunguza uzalishaji wa mafuta hali itakayotishia bei ya soko la mafuta duniani.
Trump ashtakiwa Manhattan New York. March 31, 2023 Siasa Jopo la mahakama la Wazee wa Manhattan mjini New York marekani wamepiga kura ya kushtakiwa kwa Donald Trump.
Indonesia yavuliwa nafasi ya kuwa mwenyeji kombe la dunia. March 30, 2023 Michezo Indonesia imevuliwa nafasi ya kuwa mwenyeji katika mashindano ya kombe la dunia la vijana chini ya miaka 20.
Chelsea yafuturisha uwanjani. March 28, 2023 Michezo Klabu ya Chelsea kutoka ligi kuu ya uingereza imewafuturisha waislamu walio karibu na eneo la uwanja wao wa Stamford Bridge.
Morocco yaichapa Brazil ndani ya Ramadhani. March 27, 2023 Michezo Morocco yaifunga Brazil magoli mawili kwa moja katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa katika dimba la Ibn Batouta huko
Marekani kufanya ziara Tanzania. March 27, 2023 Habari, Siasa Bi Kamal harris, anatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania tarehe 29 March 2023 kukuza diplomasia baina ya nchi hizo.
Tanzania yaipa msaada uturuki. March 24, 2023 Jamii Serikali ya Tanzania imetoa msaada wa kibinadamu kwa uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo tarehe 6/2/2023
Ozil atangaza kustaafu soka. March 22, 2023 Michezo Nyota wa zamani wa Arsenal na Real Madrid Mesut Ozil (34) ametangaza kustaafu kucheza mpira wa kulipwa baada ya majeraha
Mwezi haujaonekana leo. March 21, 2023 Jamii Mwezi haujaonekana siku ya leo jumanne hivyo Ramadhani inatarajiwa kuwa siku ya Alhamisi tarehe 23.
Mechi za EPL kusimama muda wa kufuturu. March 21, 2023 Jamii, Michezo Waamuzi wa ligi ya uingereza wameruhusiwa kusimamisha mchezo ili kuwapa nafasi wachezaji walio funga kufuturu ndani ya mwezi wa Ramadhani.
Chelsea kufuturisha waislamu. March 16, 2023 Jamii, Michezo Timu ya Chelsea itawaalika waislamu wote siku ya jumapili tarehe 26 mwezi March Kwa ajili ya kufuturu kwa pamoja.