Kamati ya mwezi nchini Saudi Arabia inayoongozwa na Dr Abdullah Khudairi imethibitisha kutoonekana kwa muandamo wa mwezi jioni ya leo siku ya jumanne.
Hivyo Ramadhani ya kwanza inatarajiwa kuwa siku ya Alhamisi ambayo ni sawa na tarehe 23/3/2023.
Tizii Media » Habari » Jamii » Mwezi haujaonekana leo.
Kamati ya mwezi nchini Saudi Arabia inayoongozwa na Dr Abdullah Khudairi imethibitisha kutoonekana kwa muandamo wa mwezi jioni ya leo siku ya jumanne.
Hivyo Ramadhani ya kwanza inatarajiwa kuwa siku ya Alhamisi ambayo ni sawa na tarehe 23/3/2023.