ZINAZOVUMA:

Mwezi haujaonekana leo.

Mwezi haujaonekana siku ya leo jumanne hivyo Ramadhani inatarajiwa kuwa...

Share na:

Kamati ya mwezi nchini Saudi Arabia inayoongozwa na Dr Abdullah Khudairi imethibitisha kutoonekana kwa muandamo wa mwezi jioni ya leo siku ya jumanne.

Hivyo Ramadhani ya kwanza inatarajiwa kuwa siku ya Alhamisi ambayo ni sawa na tarehe 23/3/2023.

Endelea Kusoma

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya