Kagame: Urusi ina haki ya kuwa popote barani Afrika. Raisi wa Rwanda Paul Kagame amesema nchi ya Urusi ina haki ya kuwa popote barani Afrika. Siasa April 20, 2023 Soma Zaidi
India yaipita China Kwa idadi ya watu. April 19, 2023 Jamii Idadi ya watu nchini India inakua kwa kasi na kufikia hatua ya kuipita idadi ya watu walioko nchini China.
Mbape hana mpango na Real Madrid. April 14, 2023 Michezo Staa wa PSG Kylian Mbape amesema hana mpango wa kuondoka na kuelekea timu nyingne mwisho wa msimu huu.
Namna Achraf Hakimi alivyokwepa “kiunzi” cha talaka. April 14, 2023 Jamii, Michezo Mke wa Achraf Hakimi adai talaka na kutaka kugwana nusu ya mali za mumewe ambazo zimandikishwa kwa jina la mama
10 wapoteza maisha wakijaribu kuingia Ulaya. April 13, 2023 Jamii, Uhalifu Watu 10 wamepoteza maisha baada ya boti waliokuwa wakitumia kuingia Ulaya kwa njia za panya kuzama katika bahari ya mediteraniani.
Imamu achomwa kisu akiswalisha. April 11, 2023 Uhalifu Imamu nchini marekani ameshambuliwa na kuchomwa kisu mgongoni wakati akiswalisha swala ya Al fajri.
Kompyuta inayoongozwa kwa mawazo. April 7, 2023 Teknolojia Australia wamekuja na teknolojia inayotumia sensa (sensor) ambayo inaruhusu kuongoza kompyuta au roboti kwa njia ya mawazo.
Kompyuta inayoongozwa kwa mawazo. April 7, 2023 Teknolojia Australia wamekuja na teknolojia inayotumia sensa (sensor) ambayo inaruhusu kuongoza kompyuta au roboti kwa njia ya mawazo.
Milioni 20 kwa kusababisha saratani. April 6, 2023 Afya Kampuni ya Johnson & Johnson kulipa mamilioni ya fedha kwa kusababisha Kansa kwa watumiaji wa poda wanayoitengeneza.
Zijue faida za Ramadhani. April 6, 2023 Jamii "Hakika tungezijua faida na baraka zilizomo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani tungeliomba ikawa ni mwezi mzima"
Zijue faida za Ramadhani. April 6, 2023 Jamii "Hakika tungezijua faida na baraka zilizomo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani tungeliomba ikawa ni mwezi mzima"
Trump ajisalimisha mahakamani. April 5, 2023 Siasa Donald Trump amejisalimisha mahakamani ili kusikiliza mashtaka yanayomkabili huko Manhattan New York.