Hali ya dharura kwa mwaka mmoja yatangazwa Libya Hali ya hatari imetangaza nchini Libya juu ya maambukizi mapya yaliyokana na mafuriko baada ya kimbunga kikali kupiga nchini humo Afya, Jamii September 18, 2023 Soma Zaidi
Serikali ya Congo yakanusha kutokea Mapinduzi ya kijeshi September 18, 2023 Siasa Serikali nchini Congo Brazzaville imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni juu ya uwezekano wa kuwepo na mapinduzi ya kijeshi
Mahakama yaamuru Tanzania kufuta adhabu ya viboko September 18, 2023 Habari Mahakama ya haki za Binadamu Afrika yaamuru Tanzania kufuta adhabu ya kudhalilisha ya viboko, na pia kumlipa fidia mmoa wa
Dagalo atishia kuanzisha serikali yake Sudan September 15, 2023 Siasa Kiongozi wa kikosi cha RSF ametishia kuanzisha serikali yake nchini Sudan ikiwa jeshi la Sudan litaweka makao makuu katika mji
Mjumbe wa UN aliyetumwa Sudan ajiuzulu September 14, 2023 Maafa, Siasa Mjumbe kutoka umoja wa mataifa aliyechaguliwa kwenda Sudan amejiuzulu huku akitahadharisha vita ya wenyewe kwa wenyewe
Idadi ya waliofariki inaongezeka kila baada ya muda Libya September 14, 2023 Jamii, Maafa Hali inazidi kuwa mbaya nchini Libya kwani kila muda unavyozidi kwenda ndivyo idadi ya miili ya watu waliopoteza maisha inazidi
Waasi wa zamani nchini Mali wavaa gwanda kurudi tena uwanjani September 12, 2023 Siasa Wapiganaji wa kutoka kikundi cha waasi kutoka Azawd nchini Mali, wawataka wanachi kuungana nao kulinda nchi na uhuru wa taifa
Rais aliyepinduliwa Gabon aruhusiwa kusafiri nje ya nchi September 7, 2023 Siasa Raisi aliyepinduliwa nchini Gabon Ali Bongo ameachiliwa na kuruhusiwa kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya matibabu
Wajawazito wanaokunywa pombe kushtakiwa Afrika Kusini September 7, 2023 Jamii Naibu Waziri wa Maendeleo ya jamii Afrika Kusini amesema unywaji wa pombe wa wanawake wajawazito kuna athari kwa mtoto
Rais Misri ahimiza uzazi wa mpango akihofia njaa September 7, 2023 Jamii, Maafa Raisi wa Misri amesema wananchi wake wanatakiwa kuzingatia uhuru wa kuzaliana kwani inaweza kusababisha janga kwa Taifa
Marekani imemuwekea vikwazo Jenerali Dagalo wa Sudan September 7, 2023 Siasa Marekani imeamua kumuwekea vikwazo Jenerali wa RSF wa Sudan kwa kusababisha mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu
Mahakama yatupilia mbali kesi kupinga ushindi wa Rais Nigeria September 7, 2023 Siasa Mahakama nchini Nigeria imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na upinzani kupinga ushindi wa Rais wa Nigeria Bola Tinubu
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma