LIBYA yazuia wachimbaji haramu Serikali ya Libya imefanikiwa kufunga mtandao wa wachimbaji haramu kusini mwa nchi hiyo. Mtandao huo umeundwa pamoja na raia wa kigeni Madini December 6, 2023 Soma Zaidi
Eng. Hersi Mwenyekiti wa kwanza ACA December 2, 2023 Michezo Eng. Hersi Said ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa kwanza wa chama cha klabu za afrika nchini Misri. Hersi na Try Again
Msumbiji yaingia makubaliano na Tanzania November 8, 2023 Uchumi Tanzania na Msumbiji zaingia makubaliano ya kushirikiana katika kuendeleza vitalu vilivyopo mpakani mwa nchi hizo kwa maslahi ya mataifa hayo
Spika Tulia Ackson aukwaa uraisi wa maspika wa dunia October 27, 2023 Siasa Spika wa Bunge la Tanzania Bi Tulia Ackson awabwaga wenzake watatu na kuibuka mshindi kwenye uchaguzi wa umoja wa mabunge
Sylvia Bongo Matatani kwa ubadhirifu Gambia October 13, 2023 Siasa, Uhalifu Sylvia Bongo na mwanawe Noureddin Bongo washitakiwa kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma, utakatishaji fedha na rushwa nchini
ZIMBABWE yaondoa kodi kwenye mbolea October 11, 2023 Biashara, Kilimo, Uchumi Kutokana na tishio la El Nino Zimbabwe imeondoa kodi ya kuingiza mbolea nchini humo kwa miezi 12 ili kuzalisha chakula
Waliomtorosha Facebook Rapist waachiwa October 11, 2023 Uhalifu Wafanyakazi wa G4S waliosadikiwa kumsaidia muuaji "Facebook Rapist" kutoroka gerezani waachiwa huru na mahakama nchini Afrika Kusini.
Niger: aondoke ndani ya saa 72 October 11, 2023 Siasa Baada ya Serikali ya kijeshi nchini Niger kuzuiwa kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa, yatoa saa chache kwa afisa wa
Air France yazuiwa nchini Mali October 11, 2023 Siasa Serikali ya Mali yazuia safari za Air France na kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa mamlaka ya Anga nchini humo.
Mwanasiasa ashtakiwa kwa kujihusisha na uchawi October 3, 2023 Jamii, Siasa Mwanasiasa wa upinzani nchini shelisheli anashtakiwa kwa kujihusisha na masuala ya uchawi
WHO yaidhinisha chanjo ya pili ya malaria October 3, 2023 Afya Shirika la Afya Duniani WHO limeidhinisha chanjo ya pili dhidi ya ugonjwa wa malaria na tayari imeanza kutumika Afrika
Siku tatu za maombolezo baada ya kupoteza askari 29 Niger October 3, 2023 Maafa Uongozi wa kijeshi nchini Niger umetoa siku tatu za maombolezo baada kuuwawa kwa wanajeshi wake 29 na waasi
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma