N’golo Kante anunua klabu Ubelgiji N'golo Kante mbali na kuwa machchari uwanjani aamua kunoa watu na kuonyesha umahiri katika kuongoza klabu ya mpira. Michezo July 7, 2023 Soma Zaidi
Bara jipya kupatikana Afrika July 6, 2023 Mazingira, Teknolojia Shirika la Anga la Marekani NASA limeonyesha katika utafiti wake dalili ya kugawanyika mara mbili kwa Bara la Afrika
WFP yahitaji msaada kukabiliana na njaa Afrika Magharibi July 6, 2023 Jamii Shirika la Mpango wa chakula la umoja wa mataifa limeomba ufadhili ili kuzisaidia nchi za Afrika Magharibi katika miezi ijayo.
Yanga yazindua jezi Ikulu July 6, 2023 Michezo Klabu ya Yanga imezindua jezi mpya za msimu wa 2023/2024 mbele ya Marais wawili, Raisi wa Malawi na Raisi wa Tanzania.
Simba yashusha kifaa kutoka Rayon sports July 5, 2023 Michezo Baada ya kukamilisha usajili sasa ni zamu ya kutambulishwa kwa wachezaji waliosajiliwa na tayari Simba wameanza na mchezaji Bora kutoka
Yanga yaalikwa Malawi July 3, 2023 Michezo Klabu ya Yanga imepata mualiko kutoka kwa Raisi wa Malawi Lazarus Chakwerwa kwenye sherehe za uhuru wa nchi hiyo
Raisi Samia azindua mkutano wa nguvu kazi Afrika July 3, 2023 Siasa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani amezindua mkutano wa nguvu kazi Afrika
M-pesa kununuliwa kwa Dola 1 July 3, 2023 Biashara Kampuni ya M-pesa holding company limited inatarajiwa kununuliwa kwa dola moja ya marekani
Waziri Mkuu aiombea kura Tanzania Baraza la michezo July 3, 2023 Michezo Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa ameiombea kura Tanzania kuwa makao makuu ya sekretarieti ya Baraza la michezo la umoja wa Afrika
MODI AOMBA AU KUWA G20 June 27, 2023 Siasa Modi ambaye ni mwenyekiti wa G20 kwa mwaka huu aomba Umoja wa Afrika uwe mwanachama jukwaa hilo mashuhuri duniani.
Ujerumani yaunga mkono AU kuwa mwanachama G20 June 27, 2023 Biashara, Habari, Jamii, Siasa, Uchumi Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani aunga mkono AU kujiunga na G20, baada ya Modi kupendekeza umoja huo kijunga
MALI YAFUKUZA VIKOSI VYA AMANI June 18, 2023 Habari, Siasa Mamlaka ya kijeshi ya mpito nchini Mali siku ya Ijumaa iliomba kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kinachojulikana