Wanyimwa dhamana kwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja. Mahakama imewanyima dhamana watuhumiwa wa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja ili kulinda usalama wao dhidi ya raia wenye hasira kali. Jamii April 19, 2023 Soma Zaidi
Kenya: Lori laacha barabara na kuua watu 10. April 8, 2023 Jamii Watu kumi wamepoteza maisha baada ya Lori kuacha njia na kuparamia kijiwe cha bodaboda nchini Kenya.
M23 wafurushwa mashariki ya Kongo. April 4, 2023 Siasa, Uhalifu Wanajeshi wa jeshi la jumuiya ya Afrika mashariki wamefanikiwa kuwaondoa waasi wa M23 katika Mji wa Bunagana uliopo mashariki ya
Odinga akubali mazungumzo na Ruto. April 3, 2023 Siasa Raila Odinga amesitisha maandamano na kukubali ombi la Raisi William Ruto la kukaa chini na kuzungumza.
Odinga alaani waliofanya uvamizi kwa Kenyatta. March 28, 2023 Siasa Raila Odinga alaani waliofanya uvamizi kwa Kenyatta asema waliofanya hivyo wametumwa na serikali.
Odinga atokwa machozi. March 27, 2023 Siasa Msafara wa Raila Odinga umeshambuliwa na jeshi la polisi na kutupiwa vitoa machozi ili kusimamisha maandamano yanayoendelea nchini Kenya.
Hakuna kiingilio, Stars vs Uganda. March 27, 2023 Michezo TFF imetangaza kuwa hakutakuwa na kiingilio katika mechi ya Taifa stars dhidi ya Uganda inayotarajiwa kuchezwa hapo kesho.
Stars yaicharaza Uganda. March 24, 2023 Habari, Michezo Timu ya Taifa stars yaichakaza vibaya Uganda katika mchezo wao wa kwanza uliochezwa nchini Misri.
Uganda matatani mapenzi ya jinsia moja. March 23, 2023 Jamii Uganda matatani baada ya kupitisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja. Wawekewa vikwazo vya kiuchumi hadi watakapobadili sheria hiyo.
Kenya: Maandamano kila Jumatatu na Alhamisi. March 21, 2023 Siasa Kiongozi wa upinzani nchini Kenya ametangaza kuendelea kwa maandamano nchini humo kila siku za jumatatu na Alhamisi.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma