Bei ya Mafuta Kenya yazidi kupanda kama Tanzania Bei ya mafuta nchini Kenya imepanda tena Kwa mara nyingne baada ya ongezeko la Kodi ya thamani kwa asilimia 16 Nishati September 15, 2023 Soma Zaidi
Somalia kupeleka matunda na samaki Ethiopia September 15, 2023 Habari Serikali za Somalia na Ethiopia zaingia makubaliano ya kubadilishana bidhaa ili kupunguza uingizaji wa bidhaa haramu unaozikosesha mapato.
Polisi yazuia mikutano ya Bobi Wine Uganda September 14, 2023 Siasa Jeshi la polisi nchini Uganda limezuia mikutano ya chama cha upinzani cha NUP inayoongozwa na Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi
Waislamu wahamaki sheria LGBTQ Kenya September 14, 2023 Jamii Viongozi wa dini ya kiislamu nchini Kenya wamepinga maamuzi ya mahakama juu ya sheria ya mapenzi ya jinsia moja
Rwanda kuzalisha umeme kwa nyuklia September 13, 2023 Teknolojia Serikali ya Rwanda imeingia makubaliano na kampuni ya Dual Fluid kutengeneza kinu cha nyuklia kwa ajili ya kuzalisha umeme nchini
Raisi Mwinyi atengua wawili visiwani September 13, 2023 Habari Raisi Mwinyi atengua teuzi mbili, ya Kamisha wa Wizara ya Fedha na Mipango, na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara
UNESCO: Kaburi la Kasubi halipo katika maeneo yaliyo hatarini September 13, 2023 Habari UNESCO yakamilisha ukarabati wa Kaburi la kasubi jijini Kampala, ambalo liliharibiwa na moto mwaka 2010 na ukarabati kugharibu mabilioni.
Ruto aingia kwenye mkutano na gari ya umeme September 5, 2023 Nishati, Siasa, Teknolojia Raisi wa Kenya William Ruto ameonesha jinsi anavyothamini ubunifu na ukuaji wa Teknolojia kwa kuamua kutumia gari ya umeme kwenda
Wa kwanza ashtakiwa kushiriki mapenzi jinsia moja Uganda August 29, 2023 Jamii Mtu wa kwanza ametuhumiwa tangu ipitishwe sheria mpya ya kudhibiti mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja nchini Uganda
Somalia kuwa mwanachama mpya EAC August 21, 2023 Siasa Jumuiya ya Afrika Mashariki ipo katika majadiliano ya kuiidhinisha Somalia kujiunga na umoja huo na kufanya uwe na nchi nane
Museven aijibu tena Benki ya Dunia August 18, 2023 Kilimo Raisi wa Uganda Yoweri Museven ameijibu tena Benki ya Dunia kwa kuondoa ufadhili kwa nchi yake
Odinga amuonya balozi wa Marekani August 18, 2023 Siasa Raila Odinga amemuambia balozi wa Marekani kuwa Kenya sio koloni la Marekani hivyo asiingilie mambo ya Wakenya la sivyo watamrudisha
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma