Urusi inapambana kulipa fadhila kwa Iran June 28, 2024 Nishati Shirika la Gazprom limeshindwa linaendelea mpango wa bomba la gesi kwenda Iran katik mpango wa fadhila wa Urusi kwa kikwazo
Serikali yazindua magari ya umeme Dodoma May 31, 2024 Mazingira, Nishati, Teknolojia, Usafiri naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Doto Biteko amezindua magari ya umeme Jijini Dodoma akiwa na wawakilishi wa UNDP na
Dangote Refinery kuorodheshwa Soko la Hisa la London (LSE) May 31, 2024 Nishati, Uchumi Dangote Petroleum Refinery imetoa tamko la kampuni hiyo kuorodheshwa kwenye masoko ya hisa ya Nigeria na London
Tanzania: Asilimia 96 ya vijiji vimepelekewa umeme April 24, 2024 Biashara, Jamii, Nishati, Uchumi Ni asilimia 4 tu ya vijiji vya Tanzania havina umeme, na Wzara ya Nishati inapambana kuhakikisha umeme unafika ili kuimarisha
Mwigulu Nchemba akaribisha wawekezaji wa Nishati April 19, 2024 Nishati Waziri wa Fedha wa Tanzania Mwigulu Nchemba awakaribisha wawekezaji wa sekta ya nishati ili kuzalisha nishati itakayoleta chachu ya Manedeleo
DAR ES SALAAM: Bei ya mafuta yapaa April 3, 2024 Jamii, Nishati Bei ya mafuta Dar es Salaam imepanda kutokana na mafuta hayo kununuliwa kwa fedha za kigeni (Euro) baada ya dola
Umeme bwerere yasema TANESCO March 27, 2024 Nishati Shirika la Umeme Tanznaia TANESCO limesema kutokana na uzalishaji wa umeme unaoendelea nchini, tunakokwenda upatikanaji wake upo vizuri
Mabasi ya Umma yasitisha huduma Kinshasa March 19, 2024 Nishati Wakazi wa Kinshasa wapata kero ya usafiri kutokana na mafuta, huku bodaboda wakiingiza fedha lukuki kwa uhitaji wa usafiri jumatatu
EACOP yagawa nyumba kama njugu December 2, 2023 Jamii, Nishati Uongozi wa mradi wa EACOP ukiwakilishwa na Wendy Brown umegawa nyumba kwa wakazi mbalimbali wa mkoa wa Tanga.
Mashirika ya mazingira Kenya yaishtaki ‘Total Energies’ October 3, 2023 Nishati Mashirika ya mazingira nchini Kenya yameishtaki kampuni ya mafuta ya TotalEnergies' na kuitaka kusitisha mradi wa bomba la mafuta
Kenya kujenga mtambo wa nyuklia kuanzia 2027 September 27, 2023 Nishati Serikali ya Kenya imetangaza mpango wake wa kujenga kinu cha nyuklia ili kukuza uzalishaji na kuhakikisha matumizi ya nishati safi