Shule ya Kivukoni A Ulanga yafungwa sababu ya mafuriko Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Dkt. Julius Ningu asimamisha masomo shule ya Msingi Kivukoni A kutokana na shule hiyo kujaa maji ya mvua Jamii, Maafa, Usafiri April 9, 2024 Soma Zaidi
15 wafa maji kutokana na mvua zinazoendelea April 8, 2024 Maafa Takriban vifo 15 vimetokea nchini kutokana na mvua zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini, 12 vikiwa vya watoto na vitatu watu wazima
Watoa misaada Gaza washambuliwa na Israeli April 2, 2024 Maafa Shirika la World Central Kitchen Gaza limeshambuliwa na moja ya vikosi vinavyohisiwa kuwa ni vya Israeli na watu kadhaa wamefariki
Liberia: Wafariki baada ya mgodi kuporomoka March 27, 2024 Maafa, Madini wachimbaji waangukiwa na kifusi cha mgodi kusini mwa Liberia katika jimbo la River Cess na kusababisha vifo kadhaa.
Miili ya waliofariki Shakahola kukabidhiwa kwa familia zao March 27, 2024 Habari, Jamii, Maafa Miili ya watu waliofariki katika msitu wa Shakahola wakabidhiwa kwa wanafamilia kwa ajili ya mazishi baada ya muda mrefu wa
NIGERIA: Zaidi ya wanafunzi 130 waliotekwa wameokolewa March 25, 2024 Jamii, Maafa, Siasa Wanafunzi 136 waliotekwa mwezi uliopita waokolewa na majeshi ya Nigeria katika mji wa Zamfara karibu na Kaduna bila majeraha.
Utata wa wahusika shambulizi la ukumbi Moscow March 25, 2024 Maafa, Uhalifu Urusi inapeperusha bendera nusu mlingoti, huku ikizozana na Media za magharibi juu ya nani amehusika na shambulio la ukumbi wa
Watu 60 wamekufa shambulizi la Moscow March 23, 2024 Maafa Shambulio la ukumbi wa Tamasha la Picnic nchini Urusi katika mji wa Moscow limesababisha vifo takriban 60, zimesema taarifa kutoka FSB
Maelfu waathirika na mafuriko kilosa March 22, 2024 Maafa Zaidi ya watu elfu moja na mia nne wameathirika kwa namna moja au nyingine wilayani kilosa baada ya mvua kunyesha
Haiti: Majina ya Baraza la mpito yawasilishwa March 20, 2024 Jamii, Maafa, Siasa Baada ya CARICOM kuingilia kati fujo za Haiti, leo wamefanikiwa kuwasilisha majina ya wateule baraza la mpito, huku Pitit Desalin
NETANYAHU: Israel itaendelea na operesheni licha ya kukatazwa March 18, 2024 ISRAEL - GAZA, Maafa Netanyahu ang'ang'ania operesheni yake ya kibabe juu ya mashambulizi ya Rafah, bila kujali amezuiwa kiasi gani kufanya hivyo
HAITI: Vifaa vya Mashirika ya kutoa misaada vyaibwa March 18, 2024 Maafa Mashirika ya misaada nchini Haiti yalalamika kuibwa kwa vitu mbalimbali ikiwemo vitu walivyotarajia kutoa kama msaada wa kibinadamu
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma