ZINAZOVUMA:

Kitaifa

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir ametoa rai kwa watanzania kumuenzi Marehemu Mzee Edward Lowassa kwa kuiga mazuri aliyofanya wakati wa uhai wake.
Mufti amesema mashindano hayo mapya hapa nchini yataendeshwa kwa mfumo unaofanana na mashindano ya quran na kutakuwa na zawadi nono
Mufti ametoa wito kwa watanzania wenye sifa wakiwemo maimam,walimu wa madrasa na makhatibu kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi 200 za
Kiwanda cha sukari cha Mkulazi chaanza uzalishaji, na kimeazimia kuzalisha sukari ya viwandani ili kupunguza uagizwaji wa sukari hiyo
Uongozi wa mradi wa EACOP ukiwakilishwa na Wendy Brown umegawa nyumba kwa wakazi mbalimbali wa mkoa wa Tanga.
Wilayani Hanang, vifo vingi vimetokea kutokana na mafuriko pamoja na tope lilisobabishwa na Mvua ya jumapili. Miili inaendelea kutafutwa

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya