Mahakama yaamuru nyumba ya Mbowe kupigwa mnada MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imetoa amri na kumteua dalali wa kukamata nyumba ya mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Biashara, Jamii, Siasa February 14, 2024 Soma Zaidi
Mkutano Mkuu Tampro wafana, Dkt Dau, Prof Assad watoa ya moyoni February 14, 2024 Jamii Chama cha Wataalamu wa Kiislamu TAMPRO kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka 2023 kwa mafanikio makubwa ambapo wanachama Zaidi ya 300 walishiriki.
Mwili wa Edward Lowassa kuagwa February 13, 2024 Jamii, Siasa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa anatarajiwa kuagwa katika viwanja viwili vikubwa kikiwemo cha Sheikh Amri Abeid jijini Arusha na
Tumuenzi Lowassa kwa kuiga mazuri yake – Mufti February 13, 2024 Jamii, Siasa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir ametoa rai kwa watanzania kumuenzi Marehemu Mzee Edward Lowassa kwa kuiga
Bakwata waja na mashindano ya hadithi za Mtume Muhammad (saw) February 13, 2024 Jamii Mufti amesema mashindano hayo mapya hapa nchini yataendeshwa kwa mfumo unaofanana na mashindano ya quran na kutakuwa na zawadi nono
Mahakama yatengua uamuzi wa Rais kumstaafisha mtumishi wa umma Dar es Salaam February 12, 2024 Siasa Mahakama Kuu imetengua uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan, kumstaafisha kwa masilahi ya umma aliyekuwa Ofisa Sheria wa Mfuko wa
Buriani, Edward Lowassa watanzania watakukumbuka kwa ujasiri wako February 11, 2024 Jamii, Siasa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa (70) amefariki dunia, akiwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya ya Jakaya
Ziara ya Mufti Morocco yaleta tija February 11, 2024 Elimu, Jamii Mufti ametoa wito kwa watanzania wenye sifa wakiwemo maimam,walimu wa madrasa na makhatibu kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi 200 za
Msiwe kama wale, wanatuharibia sana- Sheikh Twaha Bane February 11, 2024 Jamii Sheikh Twaha Bane amewataka Mahujaji kutimiza ibada hiyo kwa nia thabiti badala ya kuifanya kuwa ni sehemu ya utalii na
Uteuzi wa balozi Dkt.Nchimbi kuwa katibu mkuu mpya CCM kwa hakika CCM ni bweta la viongozi mahiri January 17, 2024 Siasa Uchambuzi wa Maeneo ma 3 muhimu ya Kitajriba katika uteuzi huu wa katibu kuu wa CCM
Kila la heri Taifa Stars dhidi ya Moroco hivi leo January 17, 2024 Michezo Hamna chembe ya shaka katika hili, kwani tumejionea tangu kuanza kwa mashindano haya makubwa ya Afrika, hata yale mataifa makubwa
Mkulazi yaanza uzalishaji wa Sukari January 2, 2024 Biashara Kiwanda cha sukari cha Mkulazi chaanza uzalishaji, na kimeazimia kuzalisha sukari ya viwandani ili kupunguza uagizwaji wa sukari hiyo