Tumuenzi Lowassa kwa kuiga mazuri yake – Mufti Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir ametoa rai kwa watanzania kumuenzi Marehemu Mzee Edward Lowassa kwa kuiga mazuri aliyofanya wakati wa uhai wake. Jamii, Siasa February 13, 2024 Soma Zaidi
Bakwata waja na mashindano ya hadithi za Mtume Muhammad (saw) February 13, 2024 Jamii Mufti amesema mashindano hayo mapya hapa nchini yataendeshwa kwa mfumo unaofanana na mashindano ya quran na kutakuwa na zawadi nono
Mahakama yatengua uamuzi wa Rais kumstaafisha mtumishi wa umma Dar es Salaam February 12, 2024 Siasa Mahakama Kuu imetengua uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan, kumstaafisha kwa masilahi ya umma aliyekuwa Ofisa Sheria wa Mfuko wa
Buriani, Edward Lowassa watanzania watakukumbuka kwa ujasiri wako February 11, 2024 Jamii, Siasa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa (70) amefariki dunia, akiwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya ya Jakaya
Ziara ya Mufti Morocco yaleta tija February 11, 2024 Elimu, Jamii Mufti ametoa wito kwa watanzania wenye sifa wakiwemo maimam,walimu wa madrasa na makhatibu kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi 200 za
Msiwe kama wale, wanatuharibia sana- Sheikh Twaha Bane February 11, 2024 Jamii Sheikh Twaha Bane amewataka Mahujaji kutimiza ibada hiyo kwa nia thabiti badala ya kuifanya kuwa ni sehemu ya utalii na
Uteuzi wa balozi Dkt.Nchimbi kuwa katibu mkuu mpya CCM kwa hakika CCM ni bweta la viongozi mahiri January 17, 2024 Siasa Uchambuzi wa Maeneo ma 3 muhimu ya Kitajriba katika uteuzi huu wa katibu kuu wa CCM
Kila la heri Taifa Stars dhidi ya Moroco hivi leo January 17, 2024 Michezo Hamna chembe ya shaka katika hili, kwani tumejionea tangu kuanza kwa mashindano haya makubwa ya Afrika, hata yale mataifa makubwa
Mkulazi yaanza uzalishaji wa Sukari January 2, 2024 Biashara Kiwanda cha sukari cha Mkulazi chaanza uzalishaji, na kimeazimia kuzalisha sukari ya viwandani ili kupunguza uagizwaji wa sukari hiyo
Ukarabati Wa Uwanja Mpya Wa Amaan Complex-Rais DKT.Mwinyi Apewe Maua Yake December 29, 2023 Michezo Kwa mandhari sharifu ya uwanja mpya wa Amaan. Kiwanja cha kisasa, skrini kubwa, vyumba vya kisasa, viti vya kisasa, hakuna
EACOP yagawa nyumba kama njugu December 2, 2023 Jamii, Nishati Uongozi wa mradi wa EACOP ukiwakilishwa na Wendy Brown umegawa nyumba kwa wakazi mbalimbali wa mkoa wa Tanga.
Mafuriko Hanang, vifo vyaongezeka December 2, 2023 Maafa Wilayani Hanang, vifo vingi vimetokea kutokana na mafuriko pamoja na tope lilisobabishwa na Mvua ya jumapili. Miili inaendelea kutafutwa
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma