15 wafa maji kutokana na mvua zinazoendelea Takriban vifo 15 vimetokea nchini kutokana na mvua zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini, 12 vikiwa vya watoto na vitatu watu wazima Maafa April 8, 2024 Soma Zaidi
Bashungwa awatimua wataalam wa usimamizi wa Barabara katavi April 8, 2024 Habari Waziri bashungwa awafukuza katika eneo la mradi wa barabara wataalam wa barabara mkoani Katavi baada ya kutokuridhishwa kwa kasi ya
Bado tunaendelea na mradi wa Maji Mabalanga Kilindi April 8, 2024 Afya, Jamii Naibu Waziri wa Maji Mha. Kundo Mathew asema wizara yake bado inaendelea na mradi wa maji Kilindi na upo asilimia 85
Mtoto atolewa sarafu iliyokwama kooni April 4, 2024 Afya, Teknolojia Mtoto wa miaka miwili atolewa sarafu iliyokwama kooni kwa siku sita katika hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Mkoani Dodoma
Geita: Kijana afariki akichimba kaburi March 29, 2024 Habari kijana wa miaka 25 aliyekuwa akichimba kabri mkoani Geita wilaya ya Geita amefariki kwa shinikizo la Moyo.
Dr. Festo: Nataka TAMISEMI mfanye uchunguzi March 29, 2024 Habari Katibu mkuu TAMISEMI aitaka kamati ifanye uchunguzi wa ubora katika mradi ujenzi katika Hospitali Wilaya ya mwanga mkoango Kilimanjaro
TOGO: Upinzani wagomea mabadiliko ya katiba March 28, 2024 Habari Upinzani nchini Togo umekataa mabadiliko ya katiba nchini humo na kutaka Rais Faure Gnassingbé asisaini mabadiliko hayo ya Katiba.
Umeme bwerere yasema TANESCO March 27, 2024 Nishati Shirika la Umeme Tanznaia TANESCO limesema kutokana na uzalishaji wa umeme unaoendelea nchini, tunakokwenda upatikanaji wake upo vizuri
Maji yaondoa udongo Daraja la Somanga Mtama March 25, 2024 Habari, Jamii, Usafiri Mvua kubwa yasababisha umeguka kwa udongo kwenye karavati Daraja la Somanga Mtama na kuzuia magari kupita shughuli za ukarabati zinaendelea
DKT.MALASUSA: Wanalumbana kama wataishi milele March 24, 2024 Jamii Dk"Ukiona watu wanatembea utadhani wataishi milele, ukiona watu wanalumbana hawataki kupatana utadhani wataishi milele, ukiona familia hazikai pamoja utadhani wataishi
TAKWIMU ZA NBC PREMIER LEAGUE March 23, 2024 Michezo Tukiwa kwenye likizo ya mechi za kimataifa tuangalie twakimu za ligi ya NBC mpaka sasa kabla ya kuanza tena naada
Shaka: Amemuua mkewe na kumfukia chumbani March 23, 2024 Uhalifu Polisi wanamshikilia mwanaume aliyemuua mkewe na kumfukia chumbani mwao. Hayo yalisemwa na mkuu wa Wilaya Shaka Hamdu Shaka katika ziara
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma