IDA yawafunda vijana. Taasisi ya Islamic Development Agency kwa kushirikiana na Taasisi ya vijana wa kiislamu TAMSYA wameandaa warsha maalumu ya kuzungumza na vijana waliopo vyuoni. Elimu, Jamii April 11, 2023 Soma Zaidi
Raisi Samia avunja bodi TRC. April 10, 2023 Siasa, Uchumi Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani amevunja bodi ya Shirika la reli nchini.
Vijana 50 kulipiwa mahari na Al Hikma. April 10, 2023 Jamii Taasisi ya Al Hikma Foundation imesema itawalipia mahari vijana 50 ambao wako tayari kufunga ndoa na itasimamia kila kitu.
Gwajima awataka wanamichezo kudhibiti mmomonyoko wa maadili. April 9, 2023 Jamii, Michezo Dkt Gwajima amewaomba wanamichezo kushirikiana na serikali kulinda na kudhibiti mmomonyoko wa maadili unaochochewa na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Afrika kusini kumfuata mtuhumiwa wao. April 9, 2023 Uhalifu Muhalifu aliyetoroka nchini Afrika kusini amekamatwa Tanzania na anatarajiwa kurudishwa nchini kwake ili kuendelea kutumikia hukumu yake.
Mbeya: Ahukumiwa miaka 30 kisa mapenzi ya jinsia moja. April 7, 2023 Jamii Kijana mwenye umri wa miaka 22 amehukumiwa miaka 30 baada ya kukiri kosa la kuingiliwa kinyume na maumbile kwa kutaka mwenyewe.
Wazazi kupatiwa elimu ya lishe. April 7, 2023 Afya, Elimu Wazazi na walezi wanatakiwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali ili kupatiwa elimu ya lishe pamoja na huduma muhimu za afya.
Wanaojitolea kupewa kipaumbele. April 6, 2023 Afya, Siasa Spika wa Bunge Dkt Tulia Akson ataka wanaojitolea kupewa kipaumbele pindi nafasi za ajira zitakapotoka.
Milioni 20 kwa kusababisha saratani. April 6, 2023 Afya Kampuni ya Johnson & Johnson kulipa mamilioni ya fedha kwa kusababisha Kansa kwa watumiaji wa poda wanayoitengeneza.
Zijue faida za Ramadhani. April 6, 2023 Jamii "Hakika tungezijua faida na baraka zilizomo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani tungeliomba ikawa ni mwezi mzima"
Zijue faida za Ramadhani. April 6, 2023 Jamii "Hakika tungezijua faida na baraka zilizomo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani tungeliomba ikawa ni mwezi mzima"
Hii ndio sababu Sabaya kuachiwa. April 6, 2023 Siasa, Uhalifu Hii ndio sababu iliyofanya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya kuachiwa baada ya kushikiliwa kwa muda mrefu.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma