Dkt Slaa na wenzake wamekamatwa kwa kutoa vitisho Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nauye amesema Dkt Slaa na wenzake watatu hawajakamatwa kwasababu ya maoni yao kuhusu bandari Siasa August 17, 2023 Soma Zaidi
Rais Samia apangua vituo vya mabalozi August 17, 2023 Siasa Raisi Samia amewapangia vituo vya kazi mabalozi watatu na kumbadilisha balozi Mbelwa Kairuki aliyekuwa China
ATCL yatangaza ujio wa ndege zingine nchini August 15, 2023 Biashara, Usafiri Shirika la ndege la ATCL limesema mpaka sasa kuna ndege 13 nchini na mpaka kufika 2024 tayari shirika hilo litakua na ndege 16
Wanaodaiwa na NHC kutangazwa kwenye vyombo vya habari August 15, 2023 Biashara, Jamii Shirika la Nyumba la Taifa limekuja na mpango wa kuwatangazia wadaiwa wake sugu wote ili makampuni mengine yasifanye nao kazi
Yanga wapo tayari kwa hatua ya awali klabu bingwa August 15, 2023 Michezo Klabu ya Yanga imetangaza viingilio vya mchezo wa hatua ya awali wa michuano ya klabu bingwa ambao utafanyika katika uwanja
Muhimbili kuamua hatma ya Mandonga August 15, 2023 Afya, Michezo, Mitindo Bondia Karim Mandonga anasubiri majibu ya vipimo alivyofanya katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili vitakavyomuwezesha kuingia tena ulingoni
Watetezi wa haki za binadamu wataka Dkt Slaa na wenzake waachiwe August 15, 2023 Siasa Mtandao wa watetezi wa Haki za kibinadamu pamoja na kituo cha Sheria cha Haki za binadamu wamelaani kamatakamata inayoendelea
Uhondo wa ligi kuu kuanzia leo August 15, 2023 Michezo Mbio za ligi kuu ya NBC rasmi zinaanza hii Leo kwa michezo mitatu itakayopigwa katika viwanja tofauti tofauti nchini
Wahamiaji 65 kutoka Ethiopia wakamatwa Tanzania August 15, 2023 Jamii Wahamiaji 65 kutoka nchini Ethiopia wamekamatwa na idara ya uhamiaji Tanzania wakisafirishwa kwenye gari la mafuta
Dar kufuta shule za kutwa za sekondari August 14, 2023 Elimu Katika jitihada za kudhibiti maadili na kuboresha elimu ya vijana wa sekondari Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kaja
Waziri Mkuu aagiza wanaowahujumu wakulima wakamatwe August 14, 2023 Kilimo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kuwa watendaji wote wanaobainika kuiba pembejeo za wakulima wachukuliwe hatua
SADC kuwekeza katika rasilimali watu na viwanda August 14, 2023 Biashara, Uchumi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Africa imejipanga kuwekeza katika rasilimali watu ili kuboresha na kukuza sekta ya viwanda
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma