Akamatwa kwa kuchora katuni inayomkejeli Waziri Mkuu Mchoraji katuni maarufu nchini Tunisia amekamatwa kwa kuchora katuni inayomkejeli Waziri Mkuu wa nchi hiyo Jamii, Siasa September 22, 2023 Soma Zaidi
Upinzani waunga mkono mapinduzi Gabon September 22, 2023 Siasa Kiongozi wa upinzani na mkosoaji mkubwa wa aliyekuwa Rais wa Gabon ameungana na kiongozi wa mpito Jenerali Nguema
Mabaki ya kale ya mbao yagunduliwa Kalambo September 21, 2023 Habari, Mazingira Mabaki ya kale yaliyotengenezwa kwa mbao yamegunduliwa mpakani mwa Zambia na Tanzania karibu na Ziwa Vivtoria.
Burkina Faso kutuma majeshi kuisaidia Niger September 20, 2023 Siasa Bunge la Burkina Faso limeidhinisha azimio la kutuma wanajeshi kwenda kutoa msaada nchini Niger ikiwa ECOWAS wataivamia
kisa mapinduzi Gabon yaondolewa Jumuiya ya Madola September 20, 2023 Siasa Jumuiya ya Madola imeiondoa nchi ya Gabon kwa muda kutokana na mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyaka na kuitaka irejeshe demokrasia
Mahakama Nigeria imewaachia watuhumiwa LGBTQ September 20, 2023 Jamii Mahakama nchini Nigeria imewaachia kwa dhamana watuhumiwa 69 wanaojihusisha na mahusiano ya jinsia moja
Wananchi Libya wadai fidia na kulaumu Bunge kwa uzembe September 20, 2023 Jamii, Maafa Wananchi nchini Libya wameandamana wakiishtumu serikali kwa uzembe kutokana na mafuriko yaliyotokea
CRDB Al Barakah yangara tuzo za GIFA September 19, 2023 Uchumi CRDB Al Barakah yangara katika mkutano na tuzo ya GIFA ya 13 iliyofanyika jijini Dakar, uliokutanisha wadau wengi wa uchumi
Rais wa zamani wa Zambia aishtaki serikali kumzuia kusafiri September 19, 2023 Siasa Raisi wa zamani wa Zambia Edgar Lungu ameishtaki serikali ya Zambia kwa kumzuia kusafiri kwenda Korea Kusini
Wananchi wapangiwa namna ya kutumia maji Afrika Kusini September 18, 2023 Jamii Kutokana na uhaba wa maji, wananchi Afrika Kusini wamepangiwa namna ya kutumia maji ili yaendelee kupatikana
Libya bado ipo hatarini September 18, 2023 Jamii Umoja wa mataifa umeeleza hali ya wasiwasi kuwa huenda mabwawa mengine mawili yanaweza kupasuka na kusababisha mafuriko
17 wapoteza maisha kwa mvua kubwa Congo September 18, 2023 Jamii Watu 17 wamepoteza maisha baada ya maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Congo
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma