ZINAZOVUMA:

Afrika

Bandari ya Dar es salaam imefanya vizuri katika orodha ya benki ya dunia na kuonekana kuongeza ufanisi kwa miaka ya hivi karibuni
Kiwanda cha kusafisha mafuta nchini Nigeria kinazinduliwa leo hii na serikali ya Raisi Muhammadu Buhari
Pande mbili zinazopigana nchini Sudan zimekubaliana kusitisha mapigano kwa muda wa siku saba
Klabu ya Yanga itakutana na klabu ya Usm Alger kutoka Algeria katika hatua ya fainali ambapo mchezo wa kwanza utachezwa
Ethiopia imeipatia leseni kampuni ya mawasiliano ya Safaricom kuendesha huduma za pesa (kutuma na kupokea pesa) nchini humo
Baraza la haki za kibinadamu la umoja wa mataifa litafanya kikao cha dharura kujadili mzozo nchini Sudan
Mazungumzo ya kutuliza ghasia nchini Sudan hayaonekani yakileta ahueni kwani kila pande inaona ina uwezo wa kushinda vita

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya