Utafiti wa asili ya binadamu wa kwanza wakosolewa Wanasayansi wa Canada na Marekani wamekosoa nadharia kuwa binadamu wa kwanza asili yake ni Africa Elimu, Jamii May 18, 2023 Soma Zaidi
Yanga kukutana na Usm Alger fainali May 18, 2023 Michezo Klabu ya Yanga itakutana na klabu ya Usm Alger kutoka Algeria katika hatua ya fainali ambapo mchezo wa kwanza utachezwa
Ethiopia yatoa leseni kwa Safaricom May 11, 2023 Teknolojia, Uchumi Ethiopia imeipatia leseni kampuni ya mawasiliano ya Safaricom kuendesha huduma za pesa (kutuma na kupokea pesa) nchini humo
UN kukaa kikao kuhusu mzozo Sudan May 11, 2023 Jamii, Uhalifu Baraza la haki za kibinadamu la umoja wa mataifa litafanya kikao cha dharura kujadili mzozo nchini Sudan
Mambo bado magumu Sudan. May 9, 2023 Siasa, Uhalifu Mazungumzo ya kutuliza ghasia nchini Sudan hayaonekani yakileta ahueni kwani kila pande inaona ina uwezo wa kushinda vita
Gari la Balozi wa Uturuki lashambuliwa Sudan May 8, 2023 Siasa, Uhalifu Gari la Balozi wa Uturuki nchini Sudan limeshambuliwa siku ya jana wakati mapigano yakiendelea katika Mji wa Khartoum
Marumo Gallants wataka hamasa kama ya Raisi Samia May 8, 2023 Michezo Mashabiki wa klabu ya Marumo Gallants wamtaka Raisi wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa kuwapa hamasa kama ya Raisi Samia
Afrika Kusini mpaka Dar kwa “Bus” May 2, 2023 Jamii Kampuni ya usafiri ya nchini Afrika Kusini imeanzisha safari kwa njia ya basi kutoka Johannesburg mpaka Dar es salaam
Yanga yatinga hatua ya nusu fainali shirikisho. May 1, 2023 Michezo Klabu ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Tanzania kuwarejesha wanafunzi walioko Sudan. April 25, 2023 Jamii, Siasa Nchi mbalimbali Afrika na nje ya Afrika zimeanza utaratibu wa kuwaondoa raia wao katika nchi ya Sudan ili kulinda usalama
Kagame: Urusi ina haki ya kuwa popote barani Afrika. April 20, 2023 Siasa Raisi wa Rwanda Paul Kagame amesema nchi ya Urusi ina haki ya kuwa popote barani Afrika.
Tanzania yaitaka Sudan kusitisha mapigano. April 19, 2023 Jamii, Uhalifu Serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeitaka Sudan kusitisha mapigano ili kulinda mustakabali wa ukuuaji wa nchi hiyo.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma