MNADA wa vitalu vya gesi mwakani Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli nchini Tanznaia upo katika maandalizi ya mnada wa vitalu 26 unaotarajiwa kufanyika mwaka 2024 Biashara, Uchumi September 24, 2023 Soma Zaidi
Wananchi wadai kusitishwa matumizi ya petroli U.S September 18, 2023 Nishati Wananchi mjini New York wameandamana wakimtaka Raisi Joe Biden asitisha matumizi ya mafuta ya petroli nchini Marekani
Rais Samia: Mtwara ndio bandari ya korosho September 17, 2023 Biashara, Habari, Usafiri Rais Samia ataka korosho zote zipitie bandari ya mtwara baada ya ukarabati. Na mpango wa kuongeza bandari ya bidhaa nyingine
Bei ya Mafuta Kenya yazidi kupanda kama Tanzania September 15, 2023 Nishati Bei ya mafuta nchini Kenya imepanda tena Kwa mara nyingne baada ya ongezeko la Kodi ya thamani kwa asilimia 16
KSK yanunuliwa na Delo Group ya Urusi September 15, 2023 Biashara, Habari Katika kuondoa ushiriki wao wa kibiashara nchini Urusi, kampuni ya Cargill yauza hisa zake za KSK kwa msafirishaji, Delo Group
Kariakoo wapewa mbinu kuepuka bidhaa feki September 14, 2023 Biashara Wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es salaam wametakiwa kuagiza bidhaa ambazo sio bandia ili kuepuka kuharibu biashara
Erdogan: Nafaka za “Black Sea” zinazihitajika September 10, 2023 Biashara, Uchumi Raisi Erdogan anaendeleza mazungumzo ya nafaka za Black Sea, Hajakata tamaa na anaamini Ukraine na Urusi watarudi tena katika mpango
Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Dkt Biteko kuhusu mafuta September 7, 2023 Nishati Waziri Mkuu amemuagiza Naibu Waziri Mkuu kuhakikisha anashughulikia suala la mafuta na kutoa taarifa kwa wananchi baada ya wiki moja
Ruto aingia kwenye mkutano na gari ya umeme September 5, 2023 Nishati, Siasa, Teknolojia Raisi wa Kenya William Ruto ameonesha jinsi anavyothamini ubunifu na ukuaji wa Teknolojia kwa kuamua kutumia gari ya umeme kwenda
Baadhi ya maeneo kukosa umeme Dar kuanzia Septemba 1 August 31, 2023 Jamii, Nishati Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limetangaza kuwa hakutakuwa na umeme katika baadhi ya maeneo ya Dar es salaam
Serikali yatoa vigezo kuruhusu uwekezaji August 29, 2023 Biashara, Siasa, Uchumi Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amesema Tanzania ina fursa nyingi sana za uwekezaji hivyo lazima kuwa ni
Somalia: leta bidhaa yenye vyeti vya ubora August 20, 2023 Biashara, Uchumi Katika kuhakikisha ubora wa bidhaa zinazoingia na zinazotoka nchini Somalia, nchi hiyo imeagiza bidhaa ziwe na vyeti vya ithibati.
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma