ZINAZOVUMA:

Ulaya

Kamisheni ya Umoja wa Ulaya inayosimamia ulinzi wa taarifa binafsi imeipiga faini ya shilingi Trilioni 3 kampuni ya META
Mchezaji wa Real Madrid Vinicius Junior ameilalamika ligi ya La Liga kwa kuendelea kuifumbia macho ubaguzi unaoendelea
Lionel Messi amesimamishwa kwa muda wa wiki mbili kwa kosa la kuondoka kambini kwenda kwenye biashara zake binafsi Saudi Arabia
Klabu ya Chelsea kutoka ligi kuu ya uingereza imewafuturisha waislamu walio karibu na eneo la uwanja wao wa Stamford Bridge.
Nyota wa zamani wa Arsenal na Real Madrid Mesut Ozil (34) ametangaza kustaafu kucheza mpira wa kulipwa baada ya majeraha
Waamuzi wa ligi ya uingereza wameruhusiwa kusimamisha mchezo ili kuwapa nafasi wachezaji walio funga kufuturu ndani ya mwezi wa Ramadhani.
Timu ya Chelsea itawaalika waislamu wote siku ya jumapili tarehe 26 mwezi March Kwa ajili ya kufuturu kwa pamoja.

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya