EU yaipiga faini META kwa kudukua taarifa binafsi Kamisheni ya Umoja wa Ulaya inayosimamia ulinzi wa taarifa binafsi imeipiga faini ya shilingi Trilioni 3 kampuni ya META Teknolojia May 24, 2023 Soma Zaidi
Vinicius alalamikia ubaguzi La Liga May 22, 2023 Jamii, Michezo Mchezaji wa Real Madrid Vinicius Junior ameilalamika ligi ya La Liga kwa kuendelea kuifumbia macho ubaguzi unaoendelea
Messi asimamishwa PSG May 3, 2023 Michezo Lionel Messi amesimamishwa kwa muda wa wiki mbili kwa kosa la kuondoka kambini kwenda kwenye biashara zake binafsi Saudi Arabia
FFF yakataa kusimamisha mechi muda wa kufuturu. April 5, 2023 Jamii, Michezo Shirikisho la mpira nchini Ufaransa limekataa kusimamisha mechi ili kuwapa nafasi wachezaji wa kiislamu walio katika funga waweze kufuturu.
Chelsea yambwaga Graham Potter. April 3, 2023 Michezo Chelsea yaachana na kocha wake kufuatia matokeo mabovu ambayo timu imekua ikiyapata.
Chelsea yafuturisha uwanjani. March 28, 2023 Michezo Klabu ya Chelsea kutoka ligi kuu ya uingereza imewafuturisha waislamu walio karibu na eneo la uwanja wao wa Stamford Bridge.
Ozil atangaza kustaafu soka. March 22, 2023 Michezo Nyota wa zamani wa Arsenal na Real Madrid Mesut Ozil (34) ametangaza kustaafu kucheza mpira wa kulipwa baada ya majeraha
Mechi za EPL kusimama muda wa kufuturu. March 21, 2023 Jamii, Michezo Waamuzi wa ligi ya uingereza wameruhusiwa kusimamisha mchezo ili kuwapa nafasi wachezaji walio funga kufuturu ndani ya mwezi wa Ramadhani.
Chelsea kufuturisha waislamu. March 16, 2023 Jamii, Michezo Timu ya Chelsea itawaalika waislamu wote siku ya jumapili tarehe 26 mwezi March Kwa ajili ya kufuturu kwa pamoja.