Raia 17 wa Ethiopia wakamatwa Manyara Raia 17 wa Ethiopia wakamatwa na Polisi Mkoani Manyara wakielekea Afrika Kusini bila vibali, Jeshi hilo litawakaidhi watu hao kwa Uhamiaji Jamii, Uhalifu, Usafiri April 8, 2024 Soma Zaidi
Bi Mapisa, Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za Rushwa April 4, 2024 Siasa Spika wa Bunge la Afrika Kusini kwa sasa na waziri wa zamani wa Ulinzi amejiuzulu nafasi hiyo kupisha uchunguzi wa
Mayele aonekana akiwa na wana msimbazi Misri April 4, 2024 Michezo Fiston Mayele azua gumzo kwenye medani ya soka Tanzania baada ya kuonekana kwenye mitandao akisalimiana na wachezaji wa Simba
Rais Diomaye amteua Ousmanne Sonko kuwa Waziri Mkuu April 3, 2024 Siasa Ousmane Sonko ateuliwa kuwa waziri mkuu wa serikali mpya ya Rais Diomaye faye wa Senegal, na kutilia mkazo kauli mbiu
Wanajeshi wa Afrika Kusini walalamikia ukosefu wa vifaa DRC April 2, 2024 Habari Wanajeshi wa Afrika Kuisni waliopelekwa nchini DRC kwa ajili ya kupambana na vikosi vya M23 walalamika kukosa vifaa na mafunzo
TINUBU aongoza mazishi ya wanajeshi waliouwawa machi 14 March 31, 2024 Habari Rais Bola Tinubu aongoza mazishi ya wanajeshi wa Nigeria waliouwawa katika shambulio la Delta kusini mwa nchi hiyo
Liberia: Wafariki baada ya mgodi kuporomoka March 27, 2024 Maafa, Madini wachimbaji waangukiwa na kifusi cha mgodi kusini mwa Liberia katika jimbo la River Cess na kusababisha vifo kadhaa.
Rais Samia ampongeza Rais Mteule wa Senegal March 26, 2024 Jamii, Siasa Rais Samia ampongeza rais Mteule wa Senegal Bassirou Diomaye Faye kwa ushindi wa Kishindo katika uchaguzi wa Urais nchini
Mkongwe wa vichekesho Nollywood afariki na miaka 62 March 25, 2024 Jamii Wiki chache baada ya kufariki Mr. Ibu, msanii mwingine wa Nollywood nae amefariki kutokana na kufeli kwa figo
NIGERIA: Zaidi ya wanafunzi 130 waliotekwa wameokolewa March 25, 2024 Jamii, Maafa, Siasa Wanafunzi 136 waliotekwa mwezi uliopita waokolewa na majeshi ya Nigeria katika mji wa Zamfara karibu na Kaduna bila majeraha.
11 wauawa Mashariki ya DRC, ADF wadaiwa kuhusika March 25, 2024 Uhalifu 11 wauliwa kwenye mashambulizi mashariki mwa DRC, ADF kuhusishwa na mashambulizi ya maeneo hayo ya Sayo na Matembo
Matokeo ya Awali – Uchaguzi Mkuu wa Senegal March 25, 2024 Siasa Bassirou Diomaye Faye anaongoza mbio za urais Senegal kama ilivyotangazwa katika matokeo ya awali Radio Futurs Médias (RFM)
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma