Wanaouza sukari zaidi ya sh 3000 kukamatwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amewataka maofisa biashara wote nchini kukagua duka kwa duka bei ya sukari Biashara, Uchumi August 3, 2023 Soma Zaidi
Sababu ya kushuka thamani kwa sarafu za EAC August 3, 2023 Biashara, Uchumi Uzalishaji mdogo na utegemezi wa bidhaa kutoka nje ndio sababu ya kushuka thamani kwa sarafu za Afrika Mashariki
EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta August 2, 2023 Nishati Kushuka kwa shilingi dhidi ya dola kumesababisha bei ya mafuta ya petrol pamoja na dizeli kupanda
Kuhusu nishati ya umeme ukweli utatawala July 31, 2023 Nishati Waziri wa Nishati Januari Makamba amesema katika suala la nishati ya umeme hawatotoa taarifa yoyote ya uongo kwa wananchi hata
Serikali yawasilisha pingamizi la kulipa Bilioni 267 July 31, 2023 Biashara, Madini, Uchumi Serikali ya Tanzania kupitia Mwanasheria wake Mkuu Eliezer Felesh imewasilisha pingamizi la hukumu ya kuilipa kampuni ya 'Indiana Resources'
Waziri Mkuu awaalika wawekezaji sekta ya mbolea July 28, 2023 Biashara, Kilimo, Uchumi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobeba waje kuwekeza kwenye sekta ya mbolea ili kufufua viwanda vya mbolea nchini
Bwawa la Mwl Nyerere halitapunguza gharama za umeme July 27, 2023 Nishati Kukamilika kwa bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere hakutapunguza bei ya umeme kwa wateja
Wafanyakazi wafurahia kupandishwa kwa mishahara July 27, 2023 Biashara, Jamii, Uchumi Shirikisho la Vyama vya Wafanyaka nchini limewataarifu wafanyakazi kuwa nyongeza ya mishahara itaanza kuanzia mwezi ujao
Mambo moto kesi ya bandari July 26, 2023 Biashara, Uchumi Mawakili wa pande zote wakubaliana mambo sita muhimu ambayo mahakama inatakiwa kuyatolea ufafanuzi
Kenya Tupo pamoja nao -STAMICO July 25, 2023 Madini Shirika la Madini Tanzania limeahidi kushirikiana na sekta ya madini kenya, ni hatua ya kukuza sekta hiyo nchini Kenya na
Watu 8 wafariki baada ya lori la mafuta kulipuka July 24, 2023 Maafa, Nishati Watu nane wamefariki baada ya lori lililobeba mafuta kuanguka pembezoni mwa barabara na baadae kulipuka moto.
Serikali yahakikishiwa uwepo wa mafuta July 24, 2023 Nishati Serikali yahakikishiwa uwepo wa mafuta na wamiliki wa maghala baada ya kufanya ziara ya kukagua maghala hayo