Liberia: Wafariki baada ya mgodi kuporomoka wachimbaji waangukiwa na kifusi cha mgodi kusini mwa Liberia katika jimbo la River Cess na kusababisha vifo kadhaa. Maafa, Madini March 27, 2024 Soma Zaidi
TANZANIA, KENYA kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru March 25, 2024 Biashara Tanzania na Kenya zimetia saini makumaliano juu ya mambo kadhaa katika kutatua vikwazo mbalimbali vya kibiashara baina ya nchi hizo
Waziri afuta leseni za vitalu vya Madini March 23, 2024 Madini Waziri Mavunde atoa maagizo ya kufuta leseni za wasioendeleza maeneo yao ya uchimbaji madini, na kusema kuwa nyingine zitafutwa ziendelezwe
Benki ya biashara Ethiopia yamwaga dolari kwa wateja March 19, 2024 Biashara Kutokana na hitilafu katika mifumo ya ATM wateja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia wamejichukulia mamilioni ya dola kutoka katika
Mabasi ya Umma yasitisha huduma Kinshasa March 19, 2024 Nishati Wakazi wa Kinshasa wapata kero ya usafiri kutokana na mafuta, huku bodaboda wakiingiza fedha lukuki kwa uhitaji wa usafiri jumatatu
BASHE : Marekani hata bongo mchele na maharagwe vipoo March 18, 2024 Biashara, Kilimo, Uchumi Waziri Bashe mwenye dhamana ya Kilimo nchini awataka wamarekani kuja kununua mchele na maharagwe kwa wakulima wa Tanzania.
Kamati ya Bunge yapongeza Serikali na TASAF March 16, 2024 Biashara, Jamii, Mazingira, Siasa Kamati ya Bunge ya ya Utawala, Katiba na Sheria pamoja na Mhe. Ridhwani Kikwete waipongeza TASAF kwa miradi Ruvuma na
Intaneti imekatika mataifa kadhaa ya afrika March 16, 2024 Biashara, Jamii, Teknolojia, Uchumi Mashirika ya mwenenndo wa intaneti yametangaza kupungua kwa kasi ya intaneti barani Afrika kutokana na kukatika kwa mkongo wa baharini
Marekani yaingiza nchini mchele wenye virutubisho March 15, 2024 Afya, Biashara, Kilimo Marekani yaingiza nchini mchele na majaragwe yaliyoongezwa virutubisho kwa shule mbalimbali za mkoani Dodoma
Airport terminal 2 Zanzibar yashinda tuzo ya uwanja bora Afrika March 14, 2024 Biashara, Uchumi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (AAKIA) umeshinda tuzo ya Uwanja Bora wa Ndege Barani Afrika unaotoa
Mwanza: Wanaouza Sukari bei juu wakamatwa February 17, 2024 Biashara Maafia wa Bodi ya Sukari mkoani mwanza wamepita kufanya msako na kuwakamata wafanyabiashara wanaouza sukrai kwa bei ya juu ya
Mahakama yaamuru nyumba ya Mbowe kupigwa mnada February 14, 2024 Biashara, Jamii, Siasa MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imetoa amri na kumteua dalali wa kukamata nyumba ya mtoto wa Mwenyekiti wa
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma